uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Napajua hapo mi huwa ni private car naingia natulia tunaanza kuilaumu serikali hadi mnazi mmojaKama ulikuwepo an mnaenda huku.
Mnakaa kidogo mnarudi kule...
Na pale nina uhakika kuna watu wataka mpaka saa nne
Au Simba na yanga hadi tunafika