Siku mbaya: Nimeanguka hapa Gongo la Mboto kituoni kisa kugombania gari ya Mnazi Mmoja

Siku mbaya: Nimeanguka hapa Gongo la Mboto kituoni kisa kugombania gari ya Mnazi Mmoja

Ametoka wapi huyu katikati ya matajiri wenye magari na tunaotembea na wanawake wazuri tu?
hahahha deep down sasa .
Kuna watu humu wananiita tajiri kule PM kisa kutuma vocha za bure..

Alafu leo mnasema watu na magari yao..shabash
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Fundi majumba huna hata pickup ya kubebea vifaa vyako daa
Mafundi mnafeli wapi?
Kuna mmoja aliniuliza una msumari mmoja nimalizie kazi yako
 
Back
Top Bottom