Siku mchepuko uliponiambia ana ujauzito wangu

Sasa,dah nakwama kidogo!Hebu nyoosha maneno.Nia yake ilikuwa kukujulisha tu kwamba ana ujauzito wako?Au ilikuwa ni kukufahamisha tatizo kubwa lingetokea mumewe angejua?Au kukuomba ruhusa ya kuutoa ujauzito?Au kukuona ungepokeaje taarifa ya ujauzito huo?
Hata hivyo,at last,nini kilotokea?Alitoa ujauzito au aliutunza na kupata mtoto?Ikawaje?
 
Mara nyingi mtu akiwa na tatizo kwa mara ya kwanza, kisaikolojia huwa kinamtesa na wakati mwingine anaweza kukata tamaa; alipokuja akawa mwepesi na kuona vitu vyote vinawezekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…