Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Itaendelea...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa zinafeli wakati mwingine, na kuleta complicationUjauzito Ni tatizo? Si dawa tu inatoka? Huyo nae hajielewi
sawa, kula maisha binti 😀 😀
Vipi kuhusu hiyo kauli yake ya mwisho hapo?Ni mwingi wa matukio shemeji yenu🙆🙆🙆mi mwenyewe Kama wewe hata sielewi ni chai au ndio hivyo Tena😅😅😅😅
Ndoa zetu zinadumu, kwa sababu kuna wengine wanaosaidia ndoa hizo zidumu; mfano, kila siku nahitaji tendo, lakini mwenzangu hatoweza kufanya hivyo; ili msikwazane, upande wa pili utabeba hilo jukumu na ukirudi home unakuwa uko powa kabisa, hakuna stress.Sasa mkuu kudate na mke wa mtu na wew unamke Kuna Raha gani?
Tatizo lilitatulika, na maisha mengine yakaendeleaHongera mkuu.. Kwaio ikawaje sasa?? 😂 😂 😂 Au imeishia hapo Equation x
Ata mimi mwenyewe sijui 😀 😀Ni mwingi wa matukio shemeji yenu🙆🙆🙆mi mwenyewe Kama wewe hata sielewi ni chai au ndio hivyo Tena😅😅😅😅
Kwa nini iwe chai?Chai
Zikoje mkuu?Equation story zako bana!!
Kumbe 😀Ndoa zetu zinadumu, kwa sababu kuna wengine wanaosaidia ndoa hizo zidumu; mfano, kila siku nahitaji tendo, lakini mwenzangu hatoweza kufanya hivyo; ili msikwazane, upande wa pili utabeba hilo jukumu na ukirudi home unakuwa uko powa kabisa, hakuna stress.
🫨Ulishawahi kunywa balimi? 😀 😀
🤣🤣🤣🤣Jinga Sana...Vipi kuhusu hiyo kauli yake ya mwisho hapo?
''Equation x, you are a real ggentleman''
😅😅
Tangazo la nini mkuu, huko maharage bei gani kilo?Tangazo
Kumbe hata ilo ni muongo pia? 😅😅😅🤣🤣🤣🤣Jinga Sana...
Nikamuuliza, ''wewe unataka iweje?, nitakitekeleza kile utakachokiamua"Maanake Kwanza ncheke [emoji1787][emoji1787]
Kwaiyo Apo mkuu umejipangaje[emoji4]