Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #41
Tangu lini gentleman akapigwa kibuti π πHawa mapacha kama mimi na ndugu yangu blonde. Nawatofautisha mmoja anavaa kitenge mwingine anavaa mtumba. Yupi aliyekupiga kibuti? Joanah au Joannah? View attachment 2629977
Ulisuluhisha vipi?Nina mke tayari na ananipenda sana nami pia nampenda mno. halafu zinakuja taharifa kama hizo tena kwa mchepuko niliyechepuka nae bahati mbaya kwasababu ya pombe kweli?
Labda anarudi soon kuendelea, tuvute subira πNdo basi? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] hivo tu?
Tena chai ya motomoto hiiHapa mkuu umetupa chai kwenye kombe kubwaaπ
Umefanana naye π
We unafikiri kulikuwa na ugumu ganiNdo basi? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] hivo tu?
Mbona unagunaππmmmh
Umefanana naye π
Ujauzito Ni tatizo? Si dawa tu inatoka? Huyo nae hajielewiNikamuuliza ana tatizo gani? akajibu, ''anasema ana ujauzito wako, pia yeye ana mume, na wewe una mke kwa hiyo ni changamoto
Sasa mkuu kudate na mke wa mtu na wew unamke Kuna Raha gani?Mbona unaguna
Hongera mkuu.. Kwaio ikawaje sasa?? π π π Au imeishia hapo Equation xWaje watupe abc
ChaiAkasema ''Equation x, you are a real gentleman''
Tatizo lilishatatulika, kwa sasa ni rafiki tuEquation x haina part 2?