Kuna gari inaitwa Great Wall, haina tofauti na IST kabisa. Naona watu wanazisukuma jijini DarKwenye piki piki, honda na yamaha na suzuki wametolewa sokoni huku Afrika.
Mabasi na malori mchina kashika soko, yutong tatu sawa na scania moja, Kwenye malori ni hivyo hivyo...
Mbona anatengeneza magari tayari BYD inaitishia tesla.Kwenye piki piki, honda na yamaha na suzuki wametolewa sokoni huku Afrika...
Unaishi wapi mkuu? Haval hujawahi kuiona au kuisikia? Mchina ana magari mengi tu ILA kumyumbisha JP sahau.Kwenye piki piki, honda na yamaha na suzuki wametolewa sokoni huku Afrika...
Wengi hawajui soko la Africa ni dogo sana.Mbona anatengeneza magari tayari BYD inaitishia tesla.
Ila kumbuka na bidhaa zote unazoziona kariakoo bado afrika inachangia % ndogo tu ya manunuzi ya bidhaa za mchina.
Pia kumbuka kwamba magari ambayo yapo afrika hayafiki hata 10% ya gari zote duniani. Impact yetu ndogo sana kwenye manunuzi
Great Wall Motors ni Co. Kama unavyosema Toyota/Nissan/Bmw na sio model ya gari boss.Kuna gari inaitwa Great Wall, haina tofauti na IST kabisa. Naona watu wanazisukuma jijini Dar
Kwenye piki piki, honda na yamaha na suzuki wametolewa sokoni huku Afrika.
Mabasi na malori mchina kashika soko, yutong tatu sawa na scania moja, Kwenye malori ni hivyo hivyo.
Sasa siku akiamua kutengeneza gari ndogo za kutembelea, mjapani atapata shida
Yapo ila sio imara kabisa! Na bei iko juuKwenye piki piki, honda na yamaha na suzuki wametolewa sokoni huku Afrika.
Mabasi na malori mchina kashika soko, yutong tatu sawa na scania moja, Kwenye malori ni hivyo hivyo.
Sasa siku akiamua kutengeneza gari ndogo za kutembelea, mjapani atapata shida
Great Wall Motors ni Co. Kama unavyosema Toyota/Nissan/Bmw na sio model ya gari boss.
Ila ndiye mwenye soko kubwa la magari na muuzaji mkubwa wa magari duniani kwa sasaSio rahisi mjapana anauza magari dunian kote na ana technology nzuri ya magari, hata hizo PIKIPIKI huku sio nyingi kutokana na wabongo wengi hawana kipato cha kuzimiliki, mfano Honda, Yamaha, Kawasaki used ni 10M kwenda juu.
Ndo mana tunapanda hizo Toyo, kinglion yaani ukishuka kama umepigwa shot ya umeme full vibration kama degedege imepanda.
In short mchina anatoa kitu kulingana na pesa ulionayo wakati japani anazingatia ubora zaidi na uimara wa chombo.
Body zimetulia sana, hatujui mambo mengine yakoje.Baadhi ya magari ya kichina