Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama tu hujui ufanye nini, sijajua utaifanikishaje. Wanaoutaka huo Urais hawaoti. Bali wanaamka kuipambania.Hiyo ni ndoto yangu kubwa nisipoifanikisha mimi basi mwanangu atakuwa Rais.
Nifanye nini ili nifanikishe ndoto yangu hii kubwa?
, 😂😂 bro mtakie mema bhana pengine anaweza kuwa raisKama hapo ulipo umefikisha miaka 15 na huna connection yoyote na mtu yeyote wa serikali kuu bc sio ww wala uzao wako utakaoweza kupata hiyo nafasi.
Labla rais wa familia yake, 😂😂 bro mtakie mema bhana pengine anaweza kuwa rais
😂Vyovyote ilimradi neno raisi limetumikaLabla rais wa familia yake
Hapo sawa 😂😂Vyovyote ilimradi neno raisi limetumika
Asante kwa maneno yako mazuri 😅😅nimependa sana. Wewe unaweza kumpa moyo mtoto wako hadi akafanikiwa.Kama ni mtu unayetoka katika familia isiyotambulika na system iliyopo madarakani au zilizopita ,jitahidi sana kuanza kujitokeza hasa kwenye vyama vya siasa sikushauri Wala sikupangii chama Ila CCM ni the best .
Ikiwa ni mtumishi wa umma ngazi ya halmashauri Anza Mara moja kuwa karibu na chama Cha mapinduzi ifike mahali ushike hata uongozi huko kikubwa uwajibikaji na utayari wa kukitumikia chama na nchi yako .
Ila Kama inatoka kwenye familia inayijulikana na awamu mbalimbali za madaraka zilizopita na zilizopo basi jivute kwa watu mashuhuri hasa wale waliopo kwenye system specifically kwa watu wa CCM basi utapenyezwa huko taratibu utafika unakotaka au ipo siku utakuwa nguzo ya mwanao .
Dah hii mada yako raisi mtarajiwa imenikumbusha ndoto za mzee mmoja rafiki yangu akiwaza kuwa raisi japo yeye alijaribu mpaka kugombea ubunge wakati wa jiwe ijapokuwa anatoka royal family ,shida ni harakati zake zinamwangusha .
Zaidi namuombea utimize Hilo Ila usinisahau hata uwaziri wa afya mwenzio ,nitakuwa vizuri katika uwajibikaji Ila ukiona labda taaluma yangu haijiyoshelezi kuwa waziri wa afya ,basi hata uwaziri wa ulinzi maana huko ni maguvu tu ,niko vizuri kuwaendesha akina afande mlope na kiroboto maana wanatuendesha sana hapa kambini Ila yote ikifeli basi hata uwaziri wa mambo ya ndani maana nina damu ya upelelezi na ufukunyuku toka kwa kizazi changu .
Wako katika kukuombea Jambo litimie ili Tanzania yetu iwe imara na yenye kunawiri .
Bado una bikira?, kama unayo nina uwezo wa kufanikisha ndoto yako.Hiyo ni ndoto yangu kubwa nisipoifanikisha mimi basi mwanangu atakuwa Rais.
Nifanye nini ili nifanikishe ndoto yangu hii kubwa?
Kuna baadhi ya ndoto huwezi kuzikamilisha kama huna connection na watu sahihi.Angalia haya Maneno usije ukampa mtoto wako akikueleza ndoto yake.
ingia chama tawala komaa kumtukana mbowe na lissu, na kuwaita magaidiKama ni mtu unayetoka katika familia isiyotambulika na system iliyopo madarakani au zilizopita ,jitahidi sana kuanza kujitokeza hasa kwenye vyama vya siasa sikushauri Wala sikupangii chama Ila CCM ni the best .
Ikiwa ni mtumishi wa umma ngazi ya halmashauri Anza Mara moja kuwa karibu na chama Cha mapinduzi ifike mahali ushike hata uongozi huko kikubwa uwajibikaji na utayari wa kukitumikia chama na nchi yako .
Ila Kama inatoka kwenye familia inayijulikana na awamu mbalimbali za madaraka zilizopita na zilizopo basi jivute kwa watu mashuhuri hasa wale waliopo kwenye system specifically kwa watu wa CCM basi utapenyezwa huko taratibu utafika unakotaka au ipo siku utakuwa nguzo ya mwanao .
Dah hii mada yako raisi mtarajiwa imenikumbusha ndoto za mzee mmoja rafiki yangu akiwaza kuwa raisi japo yeye alijaribu mpaka kugombea ubunge wakati wa jiwe ijapokuwa anatoka royal family ,shida ni harakati zake zinamwangusha .
Zaidi namuombea utimize Hilo Ila usinisahau hata uwaziri wa afya mwenzio ,nitakuwa vizuri katika uwajibikaji Ila ukiona labda taaluma yangu haijiyoshelezi kuwa waziri wa afya ,basi hata uwaziri wa ulinzi maana huko ni maguvu tu ,niko vizuri kuwaendesha akina afande mlope na kiroboto maana wanatuendesha sana hapa kambini Ila yote ikifeli basi hata uwaziri wa mambo ya ndani maana nina damu ya upelelezi na ufukunyuku toka kwa kizazi changu .
Wako katika kukuombea Jambo litimie ili Tanzania yetu iwe imara na yenye kunawiri .
Rais mwanamke tena? HaiwezekaniHiyo ni ndoto yangu kubwa nisipoifanikisha mimi basi mwanangu atakuwa Rais.
Nifanye nini ili nifanikishe ndoto yangu hii kubwa?