Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Sawasawa hata iweje.Hiyo ni ndoto yangu kubwa nisipoifanikisha mimi basi mwanangu atakuwa Rais.
Ndoto lazima ifanikiwe hata iweje.🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawasawa hata iweje.Hiyo ni ndoto yangu kubwa nisipoifanikisha mimi basi mwanangu atakuwa Rais.
Ndoto lazima ifanikiwe hata iweje.🙏
Msikatishe watu tamaanandoto ya kuwa msanii mkubwa dunian afu nina miaka 35 dah ngoja kwanza niuze madini haya ya ruby nimtafute mond nimtie m10 toka hapo nivihonge media zote m2 mbili wanitangaze haswa toka hapo niend usa kumfuata chriss brown nitoe nae ngoma kali mi naitikia tu aya aya aya uyu aya uyu aya bonge moja la pn nazan ndan ya miez sita mi ni staa mkubwa dunia itanijua na ndoto itatimia ila we broo wa urais kaz unayo muulize lowasa kitu kinachoitwa namtegemea mtu kukipata jua low bettili shoutdown
Kwa nini s imepeperuka?Nothing happen accidentally
Kwa nini s imepeperuka?
Kwenye "happen" weka s "mwanzo" kiarabu.Sijakuelewa mkuu !!
Kwenye "happen" weka s "mwanzo" kiarabu.
Nothing happens accidentally.Kweli UPO mambo ya nafasi ya tatu third person we add s in verb 👏🏼
Nothing happens accidentally.
Na mwisho tunaweka nukta.Wagambaki?Mtaalamu wa grammar nakupata Sana .
Katika nafasi ya tatu huwa tunaweka S mbele
Happens ✅
Na mwisho tunaweka nukta.Wagambaki?
Amka utajinyea weye!!Hiyo ni ndoto yangu kubwa nisipoifanikisha mimi basi mwanangu atakuwa Rais.
Ndoto lazima ifanikiwe hata iweje.🙏
Una miaka mingapi sa h?Usikariri
Unapenda sana escort na misafara mirefu ya magar?Hiyo ni ndoto yangu kubwa nisipoifanikisha mimi basi mwanangu atakuwa Rais.
Ndoto lazima ifanikiwe hata iweje.🙏
kwa mtu kusoma maandiko yangu mathalani ya kichungaji, kisiasa au mahusiano ni Neema na Baraka Mungu tu, ndio pekee zinaweza kumfanikisha na kumuwezesha mtu kusoma na kuelewa vema jumbe na hoja zangu,Tlaatlaah huo mgazeti wako unaotype sisomi 😹😹😹