Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Haya land umeshindwa kujibu?Nikikuambia kunjaani utajibu kweli?😁😁😁 wagambaki ? Unamaanisha nini mkuu au wewe unatoka nshomile family.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya land umeshindwa kujibu?Nikikuambia kunjaani utajibu kweli?😁😁😁 wagambaki ? Unamaanisha nini mkuu au wewe unatoka nshomile family.
Wabakaji wote na wadangaji woteKila la heri.. Usipokuwa Rais uwe hata PM, mulemule tu, au waziri wa mambo ya ndani utunyooshe wahalifu wakiwemo wabakaji.
Sema Luka ni noma na ni fundi nguo tu anashona mabegi ya shule huko Toangoma🤣🤣Ungana na kaka Luca na mwenzie Tlaatlaah
Toangoma apotee?Yupo Kajunjumele Songwe huko.Sema Luka ni noma na ni fundi nguo tu anashona mabegi ya shule huko Toangoma🤣🤣
Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuandamana nawe katika nia na kusudio lako jema la kua kiongozi mkuu wa nchi...Hiyo ni ndoto yangu kubwa nisipoifanikisha mimi basi mwanangu atakuwa Rais.
Ndoto lazima ifanikiwe hata iweje.🙏
hahah mkuu! wadangaji ni wajasiriamwili si wahalifu 😂Wabakaji wote na wadangaji wote
Acha kumdanganya.Mnunulieni cherehani apige kazi.Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuandamana nawe katika nia na kusudio lako jema la kua kiongozi mkuu wa nchi...
Mungu mwenyewe akufanikishe 🐒
ni wazo zuri pia anaweza kuanza nalo kuelekea kwenye ndoto yake,Acha kumdanganya.Mnunulieni cherehani apige kazi.
hahah mkuu! wadangaji ni wajasiriamwili si wahalifu 😂