Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema tu nimeshaoa bhana ila isingekuwa hivyo my Dear....ningetangaza nia sasa ivi....lakini naogopa pia kwa budget ya hii misosi tungejenga kweli?????
nashukuru ma dear ila si unajua huwez piga harage kila siku? angalao kuchange kidogoMziziMkavu hebu njoo huku utoe udenda. ameline , hapati hailiwi na mtori bwana, hapo kitu na maharage.......
Anyway nimeshiba kwenye picha.
sawa kabisa sasa nimekuelewa vizuri, ndio nakula hapa but navuta picha ya misosi uliyoweka hapa jamvinihahahahah,..kwan yote ni siku moja jamani??? mimi ni mchumi ondoa shaka, kwa matumizi tu hapo hamna shaka, masuala ya budget ondoa shaka kabisa, kidogo hichohicho unakipangilia.pole mwaya
mishkaki ya kitimoto hio nimeiona bhana hapo juu kabisa na mbavu za kitimoto zilizoandaliwa kwa asali....
Naogopa mwayahahahahaha, mshikak wa kitimoto utaponaaa??itakua haiivi bhana, hiyo ni ng'ombe a.k.a cow bana,
hongera kwa msosi unaokula ila hakuna ubaya ukiangalia picha coz ni msos tu itakuongezea appetite, ni catalyst yaan appetizer,...enjoy ur dinner
MziziMkavu hebu njoo huku utoe udenda. ameline , hapati hailiwi na mtori bwana, hapo kitu na maharage.......halafu hiyo nyama choma iwe ni nundu ya ng'ombe.
Anyway nimeshiba kwenye picha.
ushaur mzur sn tatzo bhana watu wachum sn had misoc