Alishajua mke ni mchawiMM nawezq amini hii story tena 100 %
naomba niulize swali
kwann mganga atoe mashart chakula apewe na mama au binti yake apa nina maj8bu mawili
1.mganga alishajua mke ni mchawi na mnafiki
2.au ni ngumu kwa mama na binti kumtega mshikaji
naomba jibu muheshimiwa nipo njian naenda kukiamsha huko
kabla hujaenda kichwa kichwa, nini tatizo kaka!MM nawezq amini hii story tena 100 %
naomba niulize swali
kwann mganga atoe mashart chakula apewe na mama au binti yake apa nina maj8bu mawili
1.mganga alishajua mke ni mchawi na mnafiki
2.au ni ngumu kwa mama na binti kumtega mshikaji
naomba jibu muheshimiwa nipo njian naenda kukiamsha huko
ni private issue cwez kuweka waz aa maana ntakuwa najidhalilisha mwenyewekabla hujaenda kichwa kichwa, nini tatizo kaka!
sasa mbona kaz ilikuwa kubwa apo we fikiria mke alivokaribu na mume ilikuwa hakwepek na mwisho apo ndio paliponichoma zaidi yaan daktar nae anakubali kuwa muuwaji kisa pesa ebu waza uyo mwanamke ukute hata kazi halima na kichwa kimejaa upuuzi si bora angembana mshikaji angempa mpunga wa kutosha maana jamaa anazo angepata pesa na balaka kutoka mungu sasa kaenda kula pesa za mwiz na baraka kutoka kwa shetaniAlishajua mke ni mchawi
Mume hakufa babu alikataa huo mpango wa mwanamke. Jamaa alipona kabisa na baada ya siku 21 mke hakumaliza wiki akafasasa mbona kaz ilikuwa kubwa apo we fikiria mke alivokaribu na mume ilikuwa hakwepek na mwisho apo ndio paliponichoma zaidi yaan daktar nae anakubali kuwa muuwaji kisa pesa ebu waza uyo mwanamke ukute hata kazi halima na kichwa kimejaa upuuzi si bora angembana mshikaji angempa mpunga wa kutosha maana jamaa anazo angepata pesa na balaka kutoka mungu sasa kaenda kula pesa za mwiz na baraka kutoka kwa shetani
waganga mjitathimin nje ya hapo nyinyi pia ni sawa na wachawi tu
ID yako inajulikana na raia humu?ni private issue cwez kuweka waz aa maana ntakuwa najidhalilisha mwenyewe
thubutu kila kitu kimeratibiwa kuanzia kuongea mada ninazo post ngumu mtu kunijuq hata akinijua itamsaidia nn mm nasimami ukwel na haki japo walimwengu wamekuwa wakiniforce niwe mshenz lkn NooooooooID yako inajulikana na raia humu?
ok poa, nenda kaliamshe.thubutu kila kitu kimeratibiwa kuanzia kuongea mada ninazo post ngumu mtu kunijuq hata akinijua itamsaidia nn mm nasimami ukwel na haki japo walimwengu wamekuwa wakiniforce niwe mshenz lkn Noooooooo
hata kama haijulikani, anaweza akasimulia, mtu anayejua masahibu yake na yuko humu akaunganisha dot.ID yako inajulikana na raia humu?
Basi uliitafsiri kauli yake vibaya.Stori tu za maisha
Wewe ni Mwanamke?Basi uliitafsiri kauli yake vibaya.
Motema libangaMatata ya Mwasi na Mobali esilaka te..!!
Hili ni tangazo la mganga kama matangazo mengine.Amkeni kumekucha tushadanganywa tena
Hebu oneni huyu jamaa sijui anatokea Ukraine!!Hakuna mganga wa kienyeji anaweza mtibu mtu. Ni mazingaombwe. Shetani hawezi mtoa shetani ufalme una fitinika. LIPIA TANGAZO. Usipotoa zaka kamili kwa Mungu utalogwa tu mpaka ufe
Ata vitomb tomb huwa wanalogwa wanajikuta wameganda kwa dem mmoja tu tena anaendeshwa kama mjingaMi sitakuja kuoa nitakuwa tomba tomba tu
Nikipata watoto wawili inatosha tu
Mjusi gani anashika mimba. Hukuwahi kusoma tabia za reptilia. Stori ina funzo pamoja chai2011 nimefika kwa Kaka yangu namkuta anaumwa balaa..halafu mke wake yaan full ujuaji..ooh Kaka yako atakuwa karogwa na na yule Malaya wake ..ooh Mara hivi Mara vile..nikalala pale usiku sielewi elewi Kaka analia chumban mbavu zinabana halafu mke hajali...nikawagongea nikambeba bro had chumba changu..asubuhi nikaondoka nae nikasema akacheki hospital..ile tumetoka nje ya getini nikamwambia kaka tunaenda kigoma..Moja kwa Moja From kogamboni to Kigoma..huko mtaalamu akabaini mke ndo muhusika..bro akatibiwa kwa miezi miwili...akapona...
Huku nyuma Shem akaanza kulalamika nimemuiba mgonjwa hajui alipo mume wake..akalaani Sana..
Mtaalamu akaeleza uchawi uliofanyika shemeji akishirikiana na mama Yake mzaz walitumia mjusi mwenye mimba ambae walimpasua na kutoa kitoto Cha mjusi ambacho walikisaga na kuchanganya na dawa zingine wakamtilia kwenye chakula..ile kitu ikaenda ikafunga utumbo mpana na kusababisha vichomi..broo akawa hapati haha kubwa ..anakula lakn haendi chooni ....
To cut the story short broo alipona ila yule shemeji amepooza yuko kwao hapo kaskazin mwa Tanzania..