grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
Ukikuwa utaelewa tu mjukuu wangu umri bado bado sanaaa 🙂Siku nikiamua kuingia kwenye gereza la kujitakia mwenyewe nitahakikisha ninaoa mwanamke wa aina hii:
1: Mwanamke asiyekuwa na vikundi vya marafiki!
2: Mwanamke mama wa nyumbani [emoji817] percent
Unapenda Misifa wewe ndo Maana unapenda Umbea, nani kakwambia Nyie Mmeumbwa kwa Udongo, Nyie ni pande letu na Nyama ya Ubavu hebu kaa kwa Kutulia achana na Kujua Kipato cha Mumeo Eboooo ! [emoji851]1,2na 10 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] navyo penda marafiki umbea na uchunguzi harafu useme nisijue kipato chako my wangu hapana yaani MWANAMKE wa SIFA. Hizo bado hajaumbwa ndio kwanza hata huo udongo wa kuanza kumfinyanga bado Mungu hajauandaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo siku ya harusi yako usisahau kutenga eneo letu wavutaji bange wenzako mdogo wangu... ipendeze kama litakuwa pembeni kidogo na eneo la vinywajiSiku nikiamua kuingia kwenye gereza la kujitakia mwenyewe nitahakikisha ninaoa mwanamke wa aina hii:
1: Mwanamke asiyekuwa na vikundi vya marafiki!
2: Mwanamke mama wa nyumbani [emoji817] percent
3: Mwanamke aliyekuwa mjuwaji
4: Mwanamke mwenye hofu ya Mungu
5: Mwanamke asiyetumia kilevi chochote
6: Mwanamke asiyekuwa tegemezi kwao kwa asilimia [emoji817]
7: Mwanamke asiyekuwa mmbea na mchoyo
8: Mwanamke asiyekuwa na Mtoto kabla yangu
9: Mwanamke aliyekulia kwenye ndoa ya baba na mama
10: Mwanamke asiyeweza kugundua kipato changu hadi anaingia kaburini!
N:B
Sijajikita kabisa kwenye umbo la Mwanamke kabisa kuhusu urefu ama ufupi, kuhusu unene wala wembamba, kuhusu rangi wala kabila maana mimi sio muumbaji siwezi kuumba hata sisimizi