Siku nikikamata mchawi na mwizi, bora nimuache mwizi

Siku nikikamata mchawi na mwizi, bora nimuache mwizi

Hii mbinu mpya ya kuwapiga mtaa mzima hapo ulipo mmeshidwa kuung'amua? Hapo ni filamu imetengenezwa mpigwe pesa na hao wanaojiita wataalamu zaidi walio mkamata huyo mchawi.
 
Wote wanakurudisha nyuma kimaendeleo, mwizi ni mchawi tu na yeye[emoji28]
 
Kimsingi mchawi ndo inabidi auliwe kabisa bila msamaha

Hata biblia imeandika usimuache mchawi aishi.

Madhara ya mchawi ni makubwa sanaaaaaaaaaaaaaaa ukilinganisha na mwizi
 
Siku ukikamata mwizi usiku. Mvue nguo zote, funga mikono kwa nyuma, funga miguu yote Kisha mtundike kwenye tawi la mti miguu juu kichwa chini. Kisha muacheni hapo mpaka asubuhi.
Kabla hamjamtoa atakua amekiri kwamba hataiba Tena. Lkn pia unaweza kumuongezea mzigo kwa kufunga tofali au jiwe dogo na kuninginiza kwenye koroda** zake.
 
Siku ukikamata mwizi usiku. Mvue nguo zote, funga mikono kwa nyuma, funga miguu yote Kisha mtundike kwenye tawi la mti miguu juu kichwa chini. Kisha muacheni hapo mpaka asubuhi.
Kabla hamjamtoa atakua amekiri kwamba hataiba Tena. Lkn pia unaweza kumuongezea mzigo kwa kufunga tofali au jiwe dogo na kuninginiza kwenye koroda** zake.
😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom