Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Nitamuuliza maswali machache tu kama yafuatayo;
1:Mshana Jr we ni binadamu wa kawaida au ni kiumbe umetumwa toka kuzimu.
2: Unajua nini kuhusu imani unaabudu Mungu au miungu unayoijua wewe?
3:Unapitia misukosuko gani katika kazi yako unayoifanya ya ulozi.?
4:kuna tofauti gani kati yako na wachawi?
Mwisho kabisa nitamshukuru kwa busara na hekima yake aliyojariwa lakini ni baada ya kunijibu maswali yangu kwa ufasaha pasi na uongo.
Na wew Mwana Jf ukikutana nae Leo Mshana Jr utamuuliza nini?
1:Mshana Jr we ni binadamu wa kawaida au ni kiumbe umetumwa toka kuzimu.
2: Unajua nini kuhusu imani unaabudu Mungu au miungu unayoijua wewe?
3:Unapitia misukosuko gani katika kazi yako unayoifanya ya ulozi.?
4:kuna tofauti gani kati yako na wachawi?
Mwisho kabisa nitamshukuru kwa busara na hekima yake aliyojariwa lakini ni baada ya kunijibu maswali yangu kwa ufasaha pasi na uongo.
Na wew Mwana Jf ukikutana nae Leo Mshana Jr utamuuliza nini?