Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Sifanyi ngono kabisa.Wanawake huwa nawakwepa kabisa.Kuna mmoja hapa mtaani huwa ananisumbuaga, jana amenivizia gengeni akawa ananiita kwa bashasha nikajifanya simsikii kabisaKwahiyo mkuu hujamiiani kabisa?
Acha uogaSifanyi ngono kabisa.Wanawake huwa nawakwepa kabisa.Kuna mmoja hapa mtaani huwa ananisumbuaga, jana amenivizia gengeni akawa ananiita kwa bashasha nikajifanya simsikii kabisa
Rafiki mshahara wa uzinzi ni mautiAcha uoga
Miezi sita hivi nilikutana na mrembo wa telegram huyu mrembo nilimpata baada ya connection kuona kwenye uzi fulani wa machimbo na bei zake, ile pisi ilikuwa ya ukweli na nikajisemea nanunua hii kwa mara ya miwhso sinunui tena, Basi nikaenda tabata mawenzi kuonana nayo nilikuwa na vipimo vya UKIMWI rapid test ila cha ajabu nilisahu kubeba maji yake na vipini vya kujitoboa, nilipomwambia yule mrembo sina vipini na maji akasema haina shida yeye anaweza hata kujing'ata ili tupime, mie kwa ujinga wangu nikajisemea mtu mwenye ngoma hawezi kuwa na commitment kubwa hivi ya kujingata, nikavaa kinga zoezi likaenda, baada kama ya dakika 10 kinga ikawa imebust, nahisi sababu ya mafuta ya nazi tuliyopaka nikabadiri kinga tukamalizia.
Kasheshe ikaja baada ya wiki tatu nikavimbaa tonsil na vidonda kooni kugoogle naambi'wa ni dalili ya infection either bacteria au virus nikikumbuka nilichofanya wiki mbili zilizopita hapo nakosa amani kujipima naogopa basi ikabidi nimcheki tena yule mrembo nidanganye kama nataka onana naye ili nimpime, nahisi alikuwa ashasahau kama tumewahi onana nikampima majibu yapo negative, nikajipima na mie negative ishu nikawa najiuliza why nimevimba tonses na vidonda kooni na kifua kikavu hakiishi.
Siku nimeenda phamacy kununua amoxylin kwa ajiri ya tonses nikakuta mzani kupima kilo 2 zimepotea nikajua hapa kuna shida ila vipimo vinasoma negative nikaingia google , wakasema kuna watu mwili unachelewa kutengeneza antibody wa HIV hivyo ni vigumu kugundulika mapema kama ni positive mpaka miezi 3/6 na wakati huo huo anaweza kuambikiza wengine vvu, nikasema hapa mie na yule demu tupo kwenye hili kundi inawezekana tumeambukizana ila seroconversion haijatokea bado, nikasema hapa nasubiri kiroho safi miezi 6 kupata positive yangu.
Hatimaye miezi sita imepita nipo oky jamani tuzidi kuchukua tahadhari , UKIMWI bado ni kitu kibaya nina rafiki zangu watatu walishawahi nisimulia kadhia ya ARV nikasema ina maana na mimi naelekea huko kunywa dawa zitakazonisumbua vile?, pia tuzingatie matumizi sahihi ya kondomu haya mafuta ya nazi usijaribu kupaka kondomu inapasuka kiurahisi sana.
Kama humwamini mwanamke/mwanaume usitembee naye kabisa ajari zinatokea.
Bora hats ccm ndugu yanguMimi ngono hapana aisee.Kadhia ya ARV ni sawa na kadhia ya CCM
Mwambie bwana papuchi haisuswi...ikijileta unagegeda tuuAcha uoga
๐๐๐Dah!Mimi ngono hapana aisee.Kadhia ya ARV ni kama kadhia ya CCM
Mzee ulikula ukanda wa gaza... Mafuta ya nazi? Ya nn sasa wakat zenyewe zina mafuta
๐๐๐๐daah, watu Wana roho za ki Al shabab kweliAisee ww bado mdogo sana.
Sijui hata Kwanini umenunua malaya?.
Na Hapo hujauza mechi unalalamika hivyo.
kuna wana wanalala na malaya kavu kavu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hawalalamiki.
Hukuwa tu na elimu kuhusu ukimwi,acha ngono zembeMiezi sita hivi nilikutana na mrembo wa telegram huyu mrembo nilimpata baada ya connection kuona kwenye uzi fulani wa machimbo na bei zake, ile pisi ilikuwa ya ukweli na nikajisemea nanunua hii kwa mara ya miwhso sinunui tena, Basi nikaenda tabata mawenzi kuonana nayo nilikuwa na vipimo vya UKIMWI rapid test ila cha ajabu nilisahu kubeba maji yake na vipini vya kujitoboa, nilipomwambia yule mrembo sina vipini na maji akasema haina shida yeye anaweza hata kujing'ata ili tupime, mie kwa ujinga wangu nikajisemea mtu mwenye ngoma hawezi kuwa na commitment kubwa hivi ya kujingata, nikavaa kinga zoezi likaenda, baada kama ya dakika 10 kinga ikawa imebust, nahisi sababu ya mafuta ya nazi tuliyopaka nikabadiri kinga tukamalizia.
Kasheshe ikaja baada ya wiki tatu nikavimbaa tonsil na vidonda kooni kugoogle naambi'wa ni dalili ya infection either bacteria au virus nikikumbuka nilichofanya wiki mbili zilizopita hapo nakosa amani kujipima naogopa basi ikabidi nimcheki tena yule mrembo nidanganye kama nataka onana naye ili nimpime, nahisi alikuwa ashasahau kama tumewahi onana nikampima majibu yapo negative, nikajipima na mie negative ishu nikawa najiuliza why nimevimba tonses na vidonda kooni na kifua kikavu hakiishi.
Siku nimeenda phamacy kununua amoxylin kwa ajiri ya tonses nikakuta mzani kupima kilo 2 zimepotea nikajua hapa kuna shida ila vipimo vinasoma negative nikaingia google , wakasema kuna watu mwili unachelewa kutengeneza antibody wa HIV hivyo ni vigumu kugundulika mapema kama ni positive mpaka miezi 3/6 na wakati huo huo anaweza kuambikiza wengine vvu, nikasema hapa mie na yule demu tupo kwenye hili kundi inawezekana tumeambukizana ila seroconversion haijatokea bado, nikasema hapa nasubiri kiroho safi miezi 6 kupata positive yangu.
Hatimaye miezi sita imepita nipo oky jamani tuzidi kuchukua tahadhari , UKIMWI bado ni kitu kibaya nina rafiki zangu watatu walishawahi nisimulia kadhia ya ARV nikasema ina maana na mimi naelekea huko kunywa dawa zitakazonisumbua vile?, pia tuzingatie matumizi sahihi ya kondomu haya mafuta ya nazi usijaribu kupaka kondomu inapasuka kiurahisi sana.
Kama humwamini mwanamke/mwanaume usitembee naye kabisa ajari zinatokea.
Sasa wale chura huwa unawapendea wa nini?Rafiki mshahara wa uzinzi na mauti
Mkuu bila shaka una connectionAlafu ukanda wa gaza unakulaje na ndomo...pale unateleza kavu kavu
Hii dunia si yetu rafiki. Have fun...Enjoy lifeRafiki mshahara wa uzinzi na mauti
Au sioHii dunia si yetu rafiki. Have fun...Enjoy life
Inatakiwa ukifika umri gani ndo uanze nunua malaya?Aisee ww bado mdogo sana.
Sijui hata Kwanini umenunua malaya?.
Na Hapo hujauza mechi unalalamika hivyo.
kuna wana wanalala na malaya kavu kavu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hawalalamiki.
Una hisi dhambi gani huwa unaifanya?Rafiki mshahara wa uzinzi na mauti