Siku nilipohisi kupata VVU


Ah bro wacha kutisha watu bwana mbona ngoma watu wanaishi nayo miaka ishiri na kuendelea tena bila kutumia arvs....
 
Bila kutumia arvs ni mbaya sana, kinga yako itaharibiea mpaka utakapo kija kuanza arvs unaweza kuwa unaugua ukimwi tayari, kwa sasa unashauriwa kuanza arvs pindi unapogundulika jna maambukizi.
 
Aisee ww bado mdogo sana.
Sijui hata Kwanini umenunua malaya?.

Na Hapo hujauza mechi unalalamika hivyo.

kuna wana wanalala na malaya kavu kavu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hawalalamiki.
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒdaah, watu Wana roho za ki Al shabab kweli
 
Hukuwa tu na elimu kuhusu ukimwi,acha ngono zembe
 
Aisee ww bado mdogo sana.
Sijui hata Kwanini umenunua malaya?.

Na Hapo hujauza mechi unalalamika hivyo.

kuna wana wanalala na malaya kavu kavu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hawalalamiki.
Inatakiwa ukifika umri gani ndo uanze nunua malaya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ