Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This comment liked by Hazard CFCHii dunia si yetu rafiki. Have fun...Enjoy life
Hata wewe unaependa matako makubwa sasa hivi umeogopa?Mimi ngono hapana aisee.Kadhia ya ARV ni kama kadhia ya CCM
Dah pole sana ila shalet wewe si una mke? Iweje ukanuua malaya? Hivi utwo tu gegedo twenu tuna matatizo gani? Embu nambie ndani ya hiyo miezi 6 ulikuwa na hali gani?nilifuta mkui miezi 6 sasa ila anaitea todaybaby kuna group linaitea 255mtafte kasearch utamuona bila shaka.
kweli mkuu na mke ila hii pisi ilikuwa ya viwango sana, ngozi light skin fulani nikasema nanunua mara ya mwisho sinunui tena, kusema kweli sijawahi jutia kama nilivyojutia kutembea na huyu malaya na sidhani kama nitarudia muda wowote karibuni.Dah pole sana ila shalet wewe si una mke? Iweje ukanuua malaya? Hivi utwo tu gegedo twenu tuna matatizo gani? Embu nambie ndani ya hiyo miezi 6 ulikuwa na hali gani?
na wewe nilikuwa nakupenda sana ukanikataa unaona nanusurika kuambukizwa VVU.Dah pole sana ila shalet wewe si una mke? Iweje ukanuua malaya? Hivi utwo tu gegedo twenu tuna matatizo gani? Embu nambie ndani ya hiyo miezi 6 ulikuwa na hali gani?
Acha matusi,mtoto wa kike staha.Kukaa nyuma ya keyboard haipaswi kutuondolea heshima zetu.Hata wewe unaependa matako makubwa sasa hivi umeogopa?
Hiyo heshima hata siitaki maana haitonisaidia chochote.naona umemind wakati nimecoment kitu cha kawaida. Very sorry haitokokaa itokee nicoment kwenye comments zako.Acha matusi,mtoto wa kike staha.Kukaa nyuma ya keyboard haipaswi kutuondolea heshima zetu.
Hiyo sentensi ya mwisho umeharibu,yaani katika logic haipo sawa.Kilogic haipo sawa kwa sababu kwani usipocomment kwenye comment zangu nitakosa nini?Nitakosa chakula cha mchana au cha jioni?Nitashindwa kutembea?Hiyo heshima hata siitaki maana haitonisaidia chochote.naona umemind wakati nimecoment kitu cha kawaida. Very sorry haitokokaa itokee nicoment kwenye comments zako.
Sio chuki mkuu Kwa sasa ARV zinavumilika kuliko CCM.Daaah hizi chuki ni hatari sana kwa ustawi wa taifa
Ahhaaa kama nakuona ulivyopima hospital 99 huamini majibu😂😂 zipi hutoifungua tena ovyo si ndio??na wewe nilikuwa nakupenda sana ukanikataa unaona nanusurika kuambukizwa VVU.
😅😅😅vip ukikutana pisi kali tena kuliko ile? Nachojua vichwa vyenu vya chini havinaga adabu, vip hutoapa kufanya kwa mara ya mwisho?kweli mkuu na mke ila hii pisi ilikuwa ya viwango sana, ngozi light skin fulani nikasema nanunua mara ya mwisho sinunui tena, kusema kweli sijawahi jutia kama nilivyojutia kutembea na huyu malaya na sidhani kama nitarudia muda wowote karibuni.