Siku nilipojisikia vibaya zaidi

Siku nilipojisikia vibaya zaidi

Kifo wap. Kisukari, pressure, homa ya ini na saratani vinaua zaidi ya ukimwi
Acha utani ndugu kwanza neno tu Ukimwi lina tisha.
Niliwah shuhudia Mgonjwa wa ukimwi akitahabika toka siku hiyo nikiwa fm2 Hadi leo 10 years sijawahi piga shoo bila condm, Hilo gonjwa lina tisha sikia tu kwa jirani
 
Acha utani ndugu kwanza neno tu Ukimwi lina tisha.
Niliwah shuhudia Mgonjwa wa ukimwi akitahabika toka siku hiyo nikiwa fm2 Hadi leo 10 years sijawahi piga shoo bila condm, Hilo gonjwa lina tisha sikia tu kwa jirani
Huyo hakufuata masharti tu. Maana anayefuata masharti unaweza usimtambue kwa macho. Wewe nenda ocean road uone kama hujazimia hapo hapo.
 
Afu siku hizi wanaume ukiwaambia condom wanakimbia,,kupima ndo wanakuacha kabisaa
 
Halafu utakuta jamaa alitongoza huyo mrembo akatoswa, alivyowaona mabwana zake akaamua akitie moto kibanda cha kiasi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
hata hakua anajua kama wale ni jamaa zake
 
Umejuaje kama huyo dada kawaambukiza hao jamaa,katika ishu ngumu zaidi ni kupata maambukizi
 
Ila hio sio ishu ya wewe kujisikia vibaya, nahisi mimi ndio niliojisikia vibaya kwa kilichinikuta kuliko wewe.
Mwaka 2008 nimetoka na bimkubwa kariakoo nampeleka kinondoni, kufika magomeni kwenye foleni alikuja kijana anauza Cd za movie halafu bahati mbaya zaidi alikua amesimama kwenye dirisha la bimkubwa anatuonyesha cd zake, mimi kwa ustaarabu kabisa nikamwambia asante, yule kijana siku ile sijui alikua amevuta bange ya wapi banaa, akachomoa cd ya ngono halafu kasha lake kwa mbele binti amepigwa mashine kwa nyuma halafu mashine nyingine iko mdomoni, daaahhh mimi sura pakuiweka sina nikapandisha kioo, nakumbuka mpaka tunafika home hakuna mtu aliefungua mdomo wake.
Hakuna siku nikiikumbuka hua nafedheheka kuliko siku hio.
 
Ila hio sio ishu ya wewe kujisikia vibaya, nahisi mimi ndio niliojisikia vibaya kwa kilichinikuta kuliko wewe.
Mwaka 2008 nimetoka na bimkubwa kariakoo nampeleka kinondoni, kufika magomeni kwenye foleni alikuja kijana anauza Cd za movie halafu bahati mbaya zaidi alikua amesimama kwenye dirisha la bimkubwa anatuonyesha cd zake, mimi kwa ustaarabu kabisa nikamwambia asante, yule kijana siku ile sijui alikua amevuta bange ya wapi banaa, akachomoa cd ya ngono halafu kasha lake kwa mbele binti amepigwa mashine kwa nyuma halafu mashine nyingine iko mdomoni, daaahhh mimi sura pakuiweka sina nikapandisha kioo, nakumbuka mpaka tunafika home hakuna mtu aliefungua mdomo wake.
Hakuna siku nikiikumbuka hua nafedheheka kuliko siku hio.
[emoji1787][emoji1787]𝐍𝐎𝐌𝐀
 
Huo sio ukimwi Kaka ni kalukimwi.
Ukimwi wa miaka ya 87 kuja mpaka 95 miezi mitatu tayari nywele Ni Kama za paka, vidonda mdomoni, kuhara usiseme na kuvaa makoti na majaketi. In short ndani ya miezi mitano lazima mtu unaenea kwenye kiroba.

Bora uwaeleze mkuu, ngoma zamani ilikuwa ni nyoko...yaani ukisikia mtu ana miwaya na ukimtazama unajua kabisa huyu ni marehemu mtarajiwa...
 
Back
Top Bottom