Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Kwani lazima utumie bomu kuua panya ?Kuna sehemu anasubiri waandike yeye ndio a paste huku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani lazima utumie bomu kuua panya ?Kuna sehemu anasubiri waandike yeye ndio a paste huku.
[emoji3][emoji3][emoji3]Ananifurahisha kila sehemu..
#BASI KUFUPISHA STORI..... blah!blah! Kumbe hkn chcht Ni gazete kwenda mbele[emoji1][emoji1]#
Mhhh Wewe umesema ni Fundi lakini ulienda kununua kitanda cha inch 4 kwa 5 ......Fundi maiko kweli muda mwingine hata waandishi wa habari wanafanya tafiti kabla ya kuandikaSEHEMU YA 04
******************************************
SMS ya fatmah ilinishtua sana na ilisomeka hivi "hello mpenzi wangu naona umeiona huyo zawadi hapo niliyokuwekea kwenye huo mto mwekundu hiyo hela itakusaidia katika shughuli zako nakupenda sana ila usije ukaitumia kwenye mambo yafuatayo ulevi hau starehe za kuhonga wanawake byee",
Najarib kufikiria hicho kitanda kikoje Kwa mfanoMhhh Wewe umesema ni Fundi lakini ulienda kununua kitanda cha inch 4 kwa 5 ......Fundi maiko kweli muda mwingine hata waandishi wa habari wanafanya tafiti kabla ya kuandika
Chai ipo kutosha sioHapa napata kahawa na kipande cha kashata nasubil hadithi ya jini sehemu ya 5
Sawa uliona wapi mganga anajiganga? Mimi ni fundi wa nyumba mkuu na una hela yaani ungaike kutengeneza kitanda ww unaijua hela vzr mkuu?Mhhh Wewe umesema ni Fundi lakini ulienda kununua kitanda cha inch 4 kwa 5 ......Fundi maiko kweli muda mwingine hata waandishi wa habari wanafanya tafiti kabla ya kuandika
Miaka mitatu ilyopita unajua hivyo vitu vilikuwa gharama ya chini unajua ilo? Kama sasa kitanda tu hadi laki na 30 unapatq godoro 80 unapata mkuuDah hii lake nne sjui ni million nne maana imefanya mambo mengi kweli kitanda,godoro,mavaz,chakula Cha nyumban na pombe
Mkuu unajua kwa sasa kitanda kinauzwaje?Najarib kufikiria hicho kitanda kikoje Kwa mfano
Yeah mkuu stori ni ndefu mkuu endelea kunipa masikio sio chai mkuu ni kitu cha kweliUmesema ipo mpaka sehemu ya 28 kama sikosei ... kwa luga nyepesi bado ninasafari ndefu maana ndo kwanza nipo sehemu ya 4
Leo natuma vipinde viwili mkuu maana uwa na type na simu na simu yangu inasumbua hapa naandika vyote halafu nakopi naviifadhi baadae navituma tuOy mkuu tu suprise hata episode moja
Tumakuelewa sana mkuu. Usikatishwe tamaa na matomaso..we kamua hadi umalize story yote ila usituache wiki nzima bila muendelezoNi ngumu kuelewa sehemu ya 5 ndio utaelewa yale mazingira yote unayoyaona yalibadilishwa kimaajabu
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Pamojaa sana mkuu[emoji122][emoji122]Tumakuelewa sana mkuu. Usikatishwe tamaa na matomaso..we kamua hadi umalize story yote ila usituache wiki nzima bila muendelezo
Napo uliza hili swali ucjiskoe vibaya mkuu ila hicho kitanda cha futi 4 kwa 5 kipoje mkuu kama hutojali fanya mpango hata ka picha binafsi cjawahi onaSawa uliona wapi mganga anajiganga? Mimi ni fundi wa nyumba mkuu na una hela yaani ungaike kutengeneza kitanda ww unaijua hela vzr mkuu?
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Napo uliza hili swali ucjiskoe vibaya mkuu ila hicho kitanda cha futi 4 kwa 5 kipoje mkuu kama hutojali fanya mpango hata ka picha binafsi cjawahi ona
😂Ndo ameanza la kwanza CKibonge hajambo mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukimshindwa naomba namba zake🥲