Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
fetty hazeekikwamba mzee msekwa ndio mume mwenzio aliekutangulia, kwahyo fetty wetu amekuchanganya na babu yako!?..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fetty hazeekikwamba mzee msekwa ndio mume mwenzio aliekutangulia, kwahyo fetty wetu amekuchanganya na babu yako!?..
Mkuu majini average wanaishi miaka 300-500 wengine hadi 600 na imortals kama shetani na malaika ni milele...fetty hazeeki
Atuwekee mchanganua kama hatojali ... kwa jesabu zangu kitanda cha kawaida bei 200k godoro la kawaida 150k. Mengine waungwana naomba mmalizie kutaja maana naona vitu ni vingi then pesa kidogo hapo cjaweka ya pombeMhhh Wewe umesema ni Fundi lakini ulienda kununua kitanda cha inch 4 kwa 5 ......Fundi maiko kweli muda mwingine hata waandishi wa habari wanafanya tafiti kabla ya kuandika
SawaMiaka mitatu ilyopita unajua hivyo vitu vilikuwa gharama ya chini unajua ilo? Kama sasa kitanda tu hadi laki na 30 unapatq godoro 80 unapata mkuu
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Ndiokwamba mzee msekwa ndio mume mwenzio aliekutangulia, kwahyo fetty wetu amekuchanganya na babu yako!?..
Dah[emoji1]nilishaachana nae japo kwa mbindeUkimshindwa naomba namba zake🥲
Basi utakuwa umefanya kosa kibwa sana kwanini hizo bahati haziniangukii mimi ... as long anakupenda na unapata unachotaka ... hivi hujui majini wanaishi maisha marefu sana una kwama wapi mzee
Hadi apate kibali cha jiniShusha sehemu ya 5 au hadi ujiskie mkuu.
Kama anaishi maisha marefu, ina faida gani kwako ?Basi utakuwa umefanya kosa kibwa sana kwanini hizo bahati haziniangukii mimi ... as long anakupenda na unapata unachotaka ... hivi hujui majini wanaishi maisha marefu sana una kwama wapi mzee
Alafu tunaomba uweke link kwenye kila muendelezo ili tusipate tabu kutafutatafuta
Acha kukosoa kiboya mradi ukosoe tu,kwani bia 4 ni sh ngapi wakati hata elfu 10 tu haifikiAtuwekee mchanganua kama hatojali ... kwa jesabu zangu kitanda cha kawaida bei 200k godoro la kawaida 150k. Mengine waungwana naomba mmalizie kutaja maana naona vitu ni vingi then pesa kidogo hapo cjaweka ya pombe
[emoji16][emoji16][emoji16]Kwako hapakua mbali na bar, dem mnatoka mtaa mmoja ila mwendo wa gari iliwachukua dakika 30..sawa ndugu msimuliaji tunaomba sehemu ya 5
Haya ngoja nikupe hesabu za makadirio hapaAcha kukosoa kiboya mradi ukosoe tu,kwani bia 4 ni sh ngapi wakati hata elfu 10 tu haifiki
Tumia japo 1/4 ya akili mzee Acha povu[emoji16][emoji16][emoji16]
We ndo ulimnunulia kwa mahesabu hayo?Haya ngoja nikupe hesabu za makadirio hapa
1. Bei ya kitanda kipya 4*5 =250k
2. Bei ya godoro " mpya bei 150k
3 . Bei ya chakula kwa alivyo orothesha 30k
Happ haja weka mavazi
Jumlisha na kiwango aliyo baking nacho 50k
Binafsi haya maisha ya duniani nimesha ya choka kama ntapata mahala pengine nikaishi fresh tu
Nimegundua Huna hoja .... umesha anza kuleta habari za magari show roomWe ndo ulimnunulia kwa mahesabu hayo?
Wote tunaonunuaga magari tunanunuaga bei za show room?