Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

Kuna anko wangu alinisimulia kuwa alienda kumfata jamaa nyumbani kwake akafunguliwa mlango na mwanamke (mke wa huyo jamaa) akamjibu kuwa mwenyewe amelala , alivyoondoka mbele anakutana na jamaa huyo huyo anatoka kwenye mizunguko yake ,akamuuliza kuwa nimekuja kwako nimeambiwa umelala ,jamaa akashangaa akamwambia mi mbona muda sipo nyumbani na mke wangu amesafiri ,mlango nineondoka nimeufunga....jamaa akashindwa kuelewa huenda alikuwa ni jini ama laa.

Pia kuna ndugu mmoja alinunua kiwanja akajenga nyumba , ila ile nyumba ilikuwa haikaliki .alimuweka ndugu yakee mmoja akae ila anasema alikuwa akikaa anaona kuna mwanamke anapita humo ndani usiku na mchana. Ila akienda kumtazama hamuoni. Baadae akaja kufatilia akaambiwa kuwa hilo eneo kabla hajalinunua alikuwa akiishi huyo jini so anagoma kutoka cuz pale anapaona ni sehemu yake.
 
SEHEMU YA 08
****************************************
Ilipoishia ni pale nimeamka kitandani simuoni yule kijana niliekuwa ninalala nae sasa ikanibidi niamke nimtafute yuko wapi sasa nikatoka nikawq natembea tembea sasa wakati nazunguka zunguka ghafla nikawa nimekaribia mlango wa kutoka nje nikawaona fetty na familia yake wapo nje wamekaa kwenye mkeka kama wana swali lakini cha ajabu walikuwa wamebadilika sura zao nitatisha sana mimi hapo nawachungulia tu nawaona wana masikio kama ya mbuzi mbaya zaidi baabake fetty alikuwa ana mdomo meno yake yametoka nje kama ya mnyama ngili hii kitu ilinishtua sana wao walikuwa hawajaniona lakini cha aiabu nikataka kukimbia ila sasa kila nikitaka kukimbia naona nguvu zimeniishia ghafla nikawa naona sina nguvu nikawa nasikia sauti ikiniambia usiogope ilikuwa ni sauti kubwa mno ikabidi nipoteze fahamu ndugu msomaji nilipoteza fahamu na sikujua kipi kiliendelea zaidi ya kwamba niliposhtuka sikujiona tena nipo katika ile dunia niliona nipo kwenye kitanda nimelala nikashangaa hapa ni wapi ikabidi niinuke nilikuja kutambua kumbe nipo kwangu nimelala ikanibid niwashe simu kucheki majira ndugu msomaji ilikuwa ni usiku wa saa kumi na moja nikajiuliza ina maana yale yote yaliyotokea nilikuwa naota hama ni kweli na nimewezaje kurudi tena duniani? Nikawa na maswali mengi kichwani ghafla wakati natafakari usingizi ukanikamata tena nilishtuka baadae sana tayari pamepambazuka na ilikuwa ni saa nne asubuhi nikaamika kitandani pale mwili wangu ulikuwa umechoka sana sasa nikajisemea mbona nimechoka sana hivi ikanibidi niende bafuni kuoga baada ya kuoga nikatoka nje na kwenda sokoni kununua mahitaji yangu nikiwa sokoni nanunua vitu ghafla simu yangu ikaita na jina ni fettt hallow mume wangu pole kwa uchovu najua unajiuliza maswali mengi kichwani mwako maswali yako yote leo mchana nakuja kukujibu byeee nakupenda yalikuwa ni maneno ya fetty baadae simu ikakatwa duuh nikasema mungu wangu nisaidie tu basi nikaondoka kurudi nyumbani baada ya kununua mahitaji muhimu nilipofika nyumbani pale nilisalimiana na wapangaji wenzangu waliokuwa nje pale mda natoka sikuwaona lakini mmoja wa wapangaji wenzangu akaniambia mbona kijana leo inaonekana una mawazo sana kulikuno? Nikamjibu kwann ?, akasema umetupita hapa asubuhi tumekuita hauitiki na salamu zetu umezikataa ulikaa kimya, nikasema duuuh akaendelea sasa tunashangaa mda huu unatusalimia tena kama vile ndio unatuona mda huu nikasema duuh nisameheeni sipo sawa basi nikaingia ndani pale ila nilishangazwa na maneno yao ina maana niliwapita bila kuwasalimu kweli?
Basi nikapika pika pale chakula nikala baadae nikawa nipo nipo tu mule ndani nilikuwa natafakari sana sasa ghafla simu yangu ikaita kucheki namba ilikuwa ni namba ngeni hallow hey mambo vp? Ilikuwa ni sauti ya kike nikajibu safi nani mwenzangu? Akasema mimi salome ina maana umefutaga nambaangu? Salome gani akacheka akasema salome ex wako uliekuwa unampenda sana nimepata taarifa upo chanika na mimi nimekuja chanika kwa dada natamani siku tuonane aliniiambia hivyo,
Ndugu msomaji huyu salome ni mwanamke niliempendaga sana kipindi nasoma nae shule ya secondary kizuka iliyopo mkoani morogoro ni shule ya jeshi sasa kipindi nipo form 3 ndio niliweza kujuana na salome ni mwanamke mzuri sana ila alieshika dini mno nilitokea kunpenda sana na yeye alinipenda hadi tunamaliza masomo pale tukaja baadae kupotezana na ndio mapenzi yetu yalipokufa pale;
Wooow nikajikuta nimepata furaha kuwasiliana tena na salome basi salome akaniambia nimekutafuta nimepewa nambaako na rfk ako mussa nilikutana nae kanisq la ukonga ibadani akaniambia upo siku hizi chanika lakini nqjua unateseka sana kuna mambo magumu nimeoteshwa kuhusu wewe kama utanishirikisha nitakusaidia?
Yalikuwq ni maneno ya salome maneno yake yakaniogopesha sana kajuaje kama nina magumu napitia? Hau mungu kamuonyesha maana salome ni mtu alieshika dini sasa nikaona hatari inaanza kuja juu yangu nikamwambia sinq magumu yote yote ni ndoto tu unaota ww nikakata simu,
Ndugu msomaji sikutaka tena kuendelea kuwasiliana na salome niliihisi uenda amekuja kuyaharibu mapenzi yangu na fetty nilijikuta tu nimeanza kumchukia salome nikajisemea nafsini huyu kajuaje eeh?
Sasa wakati nipo na mawazo ghafla fetty akanipigia simu hello mume mimi ndio nakuja mda huu hapo nyumbani nikamjibu sawa basi baada ya muda fetty alikuja kweli alikuja na gari dogo haina ya v8 akaja hadi pale ninapopanga majirani walishangaa sana akashuka kila mtu alishangaa sana kumuona fetty na gari leo tena alikuwa anakujaga wanamuonaga ila hakuwahi kuja na gari pale ndio kilichowashangaza sana watu akaingia ndani nilimfungulia mlango akanikumbatia pale alikuwa ananukia manukatoa mazuri sana safari hiyo basi tukawa tumekaa kwenye sofa akaniambia leo nimekuja na gari ilo gari ni gari lako kuanzia sasa duuuh nilishangaa mno akaendelea yale yote uliyokuwa unayafikiria ni kweli mimi na ww tulienda wote ujinini siku ile nyumbani na yale yote uliyoyaona kule sio ndoto ni kweli akanendelea kusema wazaz wangu wamekupenda sana na ili gari baba ndio amekpa kama zawadi kuanzia sasa ni lako ili akandelea ameomba msamahaa kwa kitendo cha siku ile ulichotuona tupo nje pale tulikuwa tunapigwa swala ya kuombea mema juu yangu na ww ili ulituona tukiwa katika maumbile tofauti uliyotuzoea najua uliogopa sana akasema ila usijali lakini pia tuna vita kubwq sana,
Nikqmuuliza vita gani?
Akasema salome ndio adui yetu sasa
Maneno haya yalinishtua mno sana
Wakuu nitandelea baadae jioni
SEHEMU YA 09
****************************************
Ilipoishia ni pale fetty amekuja nyumbani pale amekuja na gari aina ya v8 amesema gari ilo nimepewa liwe langu na babaake na ameniambia wazazi wake wamefurahia mimi kwenda kuwaona kule ujinini japo nilikuwa naona kama naota kumbe nilienda kweli ujinini kule,
Na pia fetty akaniambia kuwa sasa tupo kwenye vita kubwa mno na adui yetu ni salome?
Maneno yake yalinishangaza kajuaje kama niliwasiliana na salome yule classmates wangu ambae alikuwa nasoma nae secondary kizuka morogoro,
Nikamuuliza kuna vita gani ?
Akasema ww utaona tu sema hawezi kunishinda
Nilishangazwa sana na maneno yake sasa akawa ananiambia ili gari ni lako kuanzia sasa na zimebakia siku 3 mimi na wewe kuanza kuishi pamoja lakini pia nampango wa wewe kuhama hapa twende tukaishi masaki,
Nikamuuliza tukaishi masaki kule nitawezaje kulipa kodi wakati kule ni eneo wanaloishi matajiri ?
Akacheka sana akaniambia usijali kwa kuwa mimi nipo hakuna chochote kisichowezekana basi nikasema sawa basi siku hiyo alilalaa kwangu tulifanya mapenzi kama kawaida sasa asubuhi yake aliniambia anaondoka anaenda kwao ujinini ilq baada ya siku moja atarudi nikamwambia sawa,
Basi kweli mida ya saa tano tano asubuhi aliniaga kuwa anaondoka ila alinitaarifu niache kabisa kuwasiliana na salome nikamwambia sawa akaendelea kusema kama utakaidi maagizo yangu kitachokukuta usije ukanilaumu baadae.
Nikamwambia sawa kweli alitoweka mbeleni mwa macho yangu alipotea ghafla simuoni akawq ameondoka hivyo basi nilibakia na mawazo sana sijui hatma ya maisha yangu nikajisemea kimoyo safari hii nimepatikana,
Sasa nikatoka nje kwenda kucheki lile gari aliloniletea fetty kwasababu alinikabidhi kila kitu hadi funguo nilifungua mlango nikaingia ndani wapangaji wezangu wote walikuwa wananishangaa sana kuona nimeletewa gari ni gari zuri sana nilikuwa siwezi kuendesha vizuri niliwasha tu pale nikawa napiga piga hodi tu furaha niliyokuwa nayo sio ya kitoto nilikuwq najisemea na mimi leo namiliki gari upepo uliokuwepo mule ndani ya gari ulikuwa ni ka upepo mwanana nilijikuta nahasau mateso yote ya yule jini nikawa naona raha sasa nikiwa nipo mule ndani ya gari nikaangalia siti ya nyuma nikaona begi jeusi nikasema ngoja nilifungue lile begi sikuamini nilipokutana na kibunda cha hela na kulikuwa na simu kubwa smartphone moja nzuri ikabidi nilitoe ilo begi niingie nalo ndani sasa nilipoongia ndani nikazihesabu zile pesa zilikuwa shs millioni moja nikaiwasha ile simu ilikuwa ni smartphone kampuni ya samsung sikuwa mzoefu na masuala ya smartphone niliiwasha tu ikawaka sasa cha ajabu pale kwenye wallpaper ya simu nikaona kuna picha imeseviwa pale nimepiga picha na yeye fetty tumekumbatiana na sijui ni mahali gani hapo hiyo picha sikumbuki tulipiga wapi nikashangaa sana sasa wakati nipo na mawazo nusu nikimbie nilipoona simu hiyo niliyoishika imeanza kuitaa namba imeseviwa mke wangu mpendwa nikawa sijui pa kupokelee ilipiga mara ya kwanza ikakata tena ghala simu yangu ndogo ikaita nikaona jina fetty nikapokea akaniambia mume wangu umeziona zawadi zako mule kwenye gari nikasema ndio akasema nakupenda sana hiyo simu nimekununua kuanzia sasa utakuwa unatumia hiyo simu kubwa najua haujui kuitimia kesho nitakapokuja nitakuja kukufundisha sawq nikasema sawa akasema na hiyo hela millioni moja ni mtaji wako wa biashara utakayotaka kufungua tafuta biashara ufungue nikasema sawa akasema kesho nitakapokuja nakuja kukuchukua tunahama hapo tunahamia masaki na hivyo utakapokuwa masaki inabidi utafute biashara ya kufanya ndio maana nimekupa hiyo millioni moja ishu ya kodi usiwaze mimi nipo akamalizia kwa kusema nakupenda sana ila najua tupo kwenye vita kubwa ila hawezi kushinda vita maneno yake yalikuwa yakinishingaza sana kwann fetty anasema tupo kwenye vita nikwambia mke wangu unanitisha sana unaponiambia tupo kwenye vita akacheka akasema haujui tu ww ni binadamu haujapewa uwezo wa kuona mambo ya mbele yanayotokea akasema usijal lakini kesho utaniona akakata simu,
Aliniacha na mshangao sana kwann anasema maneno yale basi wakati tu amekata simu ghafla simu yangu ikaiita nikajua ni yeye anapiga tena lakini safari hii mpigaji alikuwa ni salame,
Nikajisemea salome anataka nini tena ikabidi nipokee simu....

Wakuu nitaendelea muendelezo

Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app


MUENDELEZO Soma Siku niliyokutana na jini kwenye daladala
 
SEHEMU YA 09
****************************************
Ilipoishia ni pale fetty amekuja nyumbani pale amekuja na gari aina ya v8 amesema gari ilo nimepewa liwe langu na babaake na ameniambia wazazi wake wamefurahia mimi kwenda kuwaona kule ujinini japo nilikuwa naona kama naota kumbe nilienda kweli ujinini kule,
Na pia fetty akaniambia kuwa sasa tupo kwenye vita kubwa mno na adui yetu ni salome?
Maneno yake yalinishangaza kajuaje kama niliwasiliana na salome yule classmates wangu ambae alikuwa nasoma nae secondary kizuka morogoro,
Nikamuuliza kuna vita gani ?
Akasema ww utaona tu sema hawezi kunishinda
Nilishangazwa sana na maneno yake sasa akawa ananiambia ili gari ni lako kuanzia sasa na zimebakia siku 3 mimi na wewe kuanza kuishi pamoja lakini pia nampango wa wewe kuhama hapa twende tukaishi masaki,
Nikamuuliza tukaishi masaki kule nitawezaje kulipa kodi wakati kule ni eneo wanaloishi matajiri ?
Akacheka sana akaniambia usijali kwa kuwa mimi nipo hakuna chochote kisichowezekana basi nikasema sawa basi siku hiyo alilalaa kwangu tulifanya mapenzi kama kawaida sasa asubuhi yake aliniambia anaondoka anaenda kwao ujinini ilq baada ya siku moja atarudi nikamwambia sawa,
Basi kweli mida ya saa tano tano asubuhi aliniaga kuwa anaondoka ila alinitaarifu niache kabisa kuwasiliana na salome nikamwambia sawa akaendelea kusema kama utakaidi maagizo yangu kitachokukuta usije ukanilaumu baadae.
Nikamwambia sawa kweli alitoweka mbeleni mwa macho yangu alipotea ghafla simuoni akawq ameondoka hivyo basi nilibakia na mawazo sana sijui hatma ya maisha yangu nikajisemea kimoyo safari hii nimepatikana,
Sasa nikatoka nje kwenda kucheki lile gari aliloniletea fetty kwasababu alinikabidhi kila kitu hadi funguo nilifungua mlango nikaingia ndani wapangaji wezangu wote walikuwa wananishangaa sana kuona nimeletewa gari ni gari zuri sana nilikuwa siwezi kuendesha vizuri niliwasha tu pale nikawa napiga piga hodi tu furaha niliyokuwa nayo sio ya kitoto nilikuwq najisemea na mimi leo namiliki gari upepo uliokuwepo mule ndani ya gari ulikuwa ni ka upepo mwanana nilijikuta nahasau mateso yote ya yule jini nikawa naona raha sasa nikiwa nipo mule ndani ya gari nikaangalia siti ya nyuma nikaona begi jeusi nikasema ngoja nilifungue lile begi sikuamini nilipokutana na kibunda cha hela na kulikuwa na simu kubwa smartphone moja nzuri ikabidi nilitoe ilo begi niingie nalo ndani sasa nilipoongia ndani nikazihesabu zile pesa zilikuwa shs millioni moja nikaiwasha ile simu ilikuwa ni smartphone kampuni ya samsung sikuwa mzoefu na masuala ya smartphone niliiwasha tu ikawaka sasa cha ajabu pale kwenye wallpaper ya simu nikaona kuna picha imeseviwa pale nimepiga picha na yeye fetty tumekumbatiana na sijui ni mahali gani hapo hiyo picha sikumbuki tulipiga wapi nikashangaa sana sasa wakati nipo na mawazo nusu nikimbie nilipoona simu hiyo niliyoishika imeanza kuitaa namba imeseviwa mke wangu mpendwa nikawa sijui pa kupokelee ilipiga mara ya kwanza ikakata tena ghala simu yangu ndogo ikaita nikaona jina fetty nikapokea akaniambia mume wangu umeziona zawadi zako mule kwenye gari nikasema ndio akasema nakupenda sana hiyo simu nimekununua kuanzia sasa utakuwa unatumia hiyo simu kubwa najua haujui kuitimia kesho nitakapokuja nitakuja kukufundisha sawq nikasema sawa akasema na hiyo hela millioni moja ni mtaji wako wa biashara utakayotaka kufungua tafuta biashara ufungue nikasema sawa akasema kesho nitakapokuja nakuja kukuchukua tunahama hapo tunahamia masaki na hivyo utakapokuwa masaki inabidi utafute biashara ya kufanya ndio maana nimekupa hiyo millioni moja ishu ya kodi usiwaze mimi nipo akamalizia kwa kusema nakupenda sana ila najua tupo kwenye vita kubwa ila hawezi kushinda vita maneno yake yalikuwa yakinishingaza sana kwann fetty anasema tupo kwenye vita nikwambia mke wangu unanitisha sana unaponiambia tupo kwenye vita akacheka akasema haujui tu ww ni binadamu haujapewa uwezo wa kuona mambo ya mbele yanayotokea akasema usijal lakini kesho utaniona akakata simu,
Aliniacha na mshangao sana kwann anasema maneno yale basi wakati tu amekata simu ghafla simu yangu ikaiita nikajua ni yeye anapiga tena lakini safari hii mpigaji alikuwa ni salame,
Nikajisemea salome anataka nini tena ikabidi nipokee simu....

Wakuu nitaendelea muendelezo

Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Tunasubiri
 
Kuna anko wangu alinisimulia kuwa alienda kumfata jamaa nyumbani kwake akafunguliwa mlango na mwanamke (mke wa huyo jamaa) akamjibu kuwa mwenyewe amelala , alivyoondoka mbele anakutana na jamaa huyo huyo anatoka kwenye mizunguko yake ,akamuuliza kuwa nimekuja kwako nimeambiwa umelala ,jamaa akashangaa akamwambia mi mbona muda sipo nyumbani na mke wangu amesafiri ,mlango nineondoka nimeufunga....jamaa akashindwa kuelewa huenda alikuwa ni jini ama laa.

Pia kuna ndugu mmoja alinunua kiwanja akajenga nyumba , ila ile nyumba ilikuwa haikaliki .alimuweka ndugu yakee mmoja akae ila anasema alikuwa akikaa anaona kuna mwanamke anapita humo ndani usiku na mchana. Ila akienda kumtazama hamuoni. Baadae akaja kufatilia akaambiwa kuwa hilo eneo kabla hajalinunua alikuwa akiishi huyo jini so anagoma kutoka cuz pale anapaona ni sehemu yake.
Mwambie afuge nguruwe tu.
 
Mungu amewazungumzia majini kwenye kitabu kitakatifu cha Quran pale alipoelezea maisha ya Nabii Mfalme Suleyman bin Daud, wazungu wanamuita King Solomon.Kuwa Majini ni mafundi wajenzi wakubwa sana na pia ni wasanifu ktk kuunda!

Mfalme Suleyman alipewa uwezo na Mungu kuwatumia hawa kumsaidia kufanya kazi ktk maisha yake na walimjengea miundo mbinu mikubwa mno k
Waajemi ndiyo wajenzi namba moja duniani wakifuatiwa na Wahispania. Wahenga waliwasiliana na mizimu na majini katika kutoa maamuzi na kufundishwa miundo mbinu.
 
Niliwahi weka humu zaidi ya miaka nane, (nafupisha sana) kwangu ilikuwa tofauti. yeye ili nionane nae lzm nilale usingizi ndio nakuwa nae ilifika mahali hata stand ya basi nitasinzia kama anataka tuwe wote uzuri hakuna wa kusumbua wala kuniibia.

Kuna mahali nilikuwa nafanya kazi nikamwambia mlinzi wa wapo khs hii hali akaniambia atanisaidia dawa.

Siku hiyo ilikuwa ugomvi na vita kubwa na yeye wkt huo sasa hata nikiwa macho naweza kujua anakuja ila inabidi nikae mahali nitulie ndio aje.

Alinilaumu sana kwa maamuzi nayotaka kufanya na kuwa nisifanye hivyo maana ananipenda sana.

Na alinipeleka sehemu nyingi (kiuhalisia kuna mambo mengi yanaendelea ktk huu ulimwengu hatuyaoni) mahali napoishi nimewahi kupelekwa hadi chini ya ardhi kuonyeshwa yanayoendelea na baadhi ya maeneo waliyopo wana tekinilogia kubwa hata binadamu wa kawaida hajafikia.

Sasa ile dawa alinipa yule mzee ilikuwa ya kuweka kwenye maji na kuoga, akasema ndani ya siku saba lazima atakuja kukuaga ila utapitia magumu usiogope.

siku ya pili alikuja na wadada wenzake kama wanne wakanichukua wakanipeleka juu sana angani akaniambia huu ndio mwisho wako nakuachia hapa, nikamsihi asifanye hivyo wenzake wakaniambia kwa nini lkn namkataa mwenzao nikasema naomba tu tuachane kwa amani. aliniangalia kwa hasira hakusema chochote nikaamka nipo poa na biashara iliishia hapo ingawa nilivyomwambia yule mzee alizema endelea kutumia dawa hadi siku saba.

kiukweli ni mwanamke mzuri kuwahi kutokea na kuna wakati huwa namwaza kwani kuna kilele nilikuwa nafikia sijawahi kukipata ila alifanya nikikutana na demu uume hausimami alafu nikiachana na huyo binti nae anakuja ananiambia kwani mimi sikutoshi hadi utafute wanawake wengine? nikaona hapa sasa nadhalilika.
Kali sana hii mkuu

Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
 
Kweli mkuu sema sio kama mimi mzushi ila muda nakosa mkuu wife kajifungua ndio shida yaani ninapopata mda kama hivi ndio naingia jf ila nitajitahidi angalau tuimalize stori
Kwanini waleta story wote huwa katikati ya story mnapata emergency?
 
Back
Top Bottom