sergio 5
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 9,405
- 10,637
Bhana uku na uku uku na kule nikajuana na single mama mmoja mzuri sana sura trakon 👍 yaani yupo kamili kweli
Kijana nikatema vocals nikakaziwa nikawa na force nikimsisitizia kuwa Mimi nimemuelewa sana
Akiwa anakaza Leo jioni nikachekiwa jioni nikachekiwa sorry nimetoka kanisani "Nina shida naomba tsh elfu 10 niongezeke tuna mchezo wa elfu 30 kwa week ila keshokutwa nikienda kazini nitakurudishia"
Wewe kama jobless ulietoka kukatwa na PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETALIET?
Kijana nikatema vocals nikakaziwa nikawa na force nikimsisitizia kuwa Mimi nimemuelewa sana
Akiwa anakaza Leo jioni nikachekiwa jioni nikachekiwa sorry nimetoka kanisani "Nina shida naomba tsh elfu 10 niongezeke tuna mchezo wa elfu 30 kwa week ila keshokutwa nikienda kazini nitakurudishia"
Wewe kama jobless ulietoka kukatwa na PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETALIET?