Siku nne baada ya kumtongoza single mother nimeombwa 10k ya mchezo

Siku nne baada ya kumtongoza single mother nimeombwa 10k ya mchezo

sergio 5

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
9,405
Reaction score
10,637
Bhana uku na uku uku na kule nikajuana na single mama mmoja mzuri sana sura trakon 👍 yaani yupo kamili kweli

Kijana nikatema vocals nikakaziwa nikawa na force nikimsisitizia kuwa Mimi nimemuelewa sana

Akiwa anakaza Leo jioni nikachekiwa jioni nikachekiwa sorry nimetoka kanisani "Nina shida naomba tsh elfu 10 niongezeke tuna mchezo wa elfu 30 kwa week ila keshokutwa nikienda kazini nitakurudishia"


Wewe kama jobless ulietoka kukatwa na PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETALIET?
 
Bhana uku na uku uku na kule nikajuana na single mama mmoja mzuri sana sura trakon 👍 yaani yupo kamili kweli

Kijana nikatema vocals nikakaziwa nikawa na force nikimsisitizia kuwa Mimi nimemuelewa sana

Akiwa anakaza Leo jioni nikachekiwa jioni nikachekiwa sorry nimetoka kanisani "Nina shida naomba tsh elfu 10 niongezeke tuna mchezo wa elfu 30 kwa week ila keshokutwa nikienda kazini nitakurudishia"


Wewe kama jobless ulietoka kukatwa na PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETALIET?
Ni hatari sana kuingia kwenye mahusiano na mtu aliyevurugwa na mapenzi.
Mwanamke anawaza hela ndiyo mbadala wa kutibu moyo wake. Wanawake hufikiri pesa huwa tunachimba, ukimwambia hauna atanuna na kukata mawasiliano.
Mwanamke anayeomba sana hela hapana. Najua unashida na hela, subiri nikupe na siyo umetongozwa asubuhi jioni unaomba hela.
 
Achana na single mother tafuta Mwanamke ambaye mpo age mate mfanye maisha.

Kuna dogo age 35 kaoa single mama mwenye children 03 sasa akiombwa bills anakuwa Mkali Sana anahisi anaonewa.

Single mama ni Kwa ajili ya washua waliojipata au watu ambao wapo aged.
 
Achana na single mother tafuta Mwanamke ambaye mpo age mate mfanye maisha.

Kuna dogo age 35 kaoa single mama mwenye children 03 sasa akiombwa bills anakuwa Mkali Sana anahisi anaonewa.

Single mama ni Kwa ajili ya washua waliojipata au watu ambao wapo aged.
Watoto watatu duh kuna watu wanajilupua
 
umeombwa 10k tu umeanzisha na uzi aiseee kijana jitafute sana achana na mapenzi
 
Huu Uzi comment Kila mtu anaponda eti elfu kumi kitu gani jf bhana wote wanaelfu kumi zisizo na kazi

Hivi hili Jua la huku dunian mnaliona kweli? halafu utoe toe Hela hovyo, kimbia aisee
 
Bhana uku na uku uku na kule nikajuana na single mama mmoja mzuri sana sura trakon 👍 yaani yupo kamili kweli

Kijana nikatema vocals nikakaziwa nikawa na force nikimsisitizia kuwa Mimi nimemuelewa sana

Akiwa anakaza Leo jioni nikachekiwa jioni nikachekiwa sorry nimetoka kanisani "Nina shida naomba tsh elfu 10 niongezeke tuna mchezo wa elfu 30 kwa week ila keshokutwa nikienda kazini nitakurudishia"


Wewe kama jobless ulietoka kukatwa na PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETALIET?
Ndugu yangu unapenda wanawake then mahitaj madogo unashindwa Sasa akiwa seriously utasolve tatizo Kwel mtego huooo
 
Achana na single mother tafuta Mwanamke ambaye mpo age mate mfanye maisha.

Kuna dogo age 35 kaoa single mama mwenye children 03 sasa akiombwa bills anakuwa Mkali Sana anahisi anaonewa.

Single mama ni Kwa ajili ya washua waliojipata au watu ambao wapo aged.
Dogo hajui anatakiwa spewed Elimu ya Mahusiano sasa yeye anaoa Mwanamke mwenye watoto watatu na usikute Baba zao hawajulikani na Mama yao kipato kidogo, Vijana wa sikuhizi wajinga siju wanarogwa.
Yani utakuta kijana wa Miaka 30 anaishi na Singler mother mwenye watoto watu na huyo kijana kipato chake ni laki 4 kwa mwezi sasa hapo kijana hawezi kufurahia mahusiano kila siku atakua mtu wa hasira tu na kugombana na jamii iliyomzunguka.
 
Back
Top Bottom