K Koryo2 JF-Expert Member Joined Nov 28, 2016 Posts 2,056 Reaction score 2,519 Mar 7, 2022 #1 Siku ya leo haikuwa siku nzuri kwa CRDB. Wateja wengi tulikosa huma na wengine tulikaa ndani ya Benki kwa muda mrefu sana kwa Benki kukosa mtandao. Mpaka sasa Benki haijatuomba radhi licha ya kupata adha kubwa.
Siku ya leo haikuwa siku nzuri kwa CRDB. Wateja wengi tulikosa huma na wengine tulikaa ndani ya Benki kwa muda mrefu sana kwa Benki kukosa mtandao. Mpaka sasa Benki haijatuomba radhi licha ya kupata adha kubwa.
monopoly inc JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 5,256 Reaction score 11,377 Mar 7, 2022 #2 Ukiombwa msamaha utapata pesa ngapi mkuu? Hapo walipe tu fidia hata buku buku fresh tu