Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kama Raia wa nchi anaweza kuanzisha ofisi yoyote na ikawa halali kikatiba, vipi siku Rais akiamua kuanzisha wadhifa wa Mfalme au Malikia na akamteua mwenza wake au mtu mwingine yoyote yule kushika wadhifa huo, si pia atakuwa sahihi?
Hata kama Katiba yetu inatambua Tanzania sio nchi ya kifalme (kwanza sijui kama katiba iko wazi kuhusu hili) lakini kama Katiba hiyo hiyo inampa madaraka ya kuanzisha ofisini yoyote, hapa. itakuwaje?
Kama anaweza kuanzisha cheo chochote, basi alikuwa sahihi kumtuma mwanae kwenda kuonana na Museveni nchini Uganda huku mwanae akiwa kiongozi wa timu(ofisi/cheo kipya).
Madaraka ya Rais wa nchi hii, ni bomu linalosubiri kulipuka siku moja.
Hata kama Katiba yetu inatambua Tanzania sio nchi ya kifalme (kwanza sijui kama katiba iko wazi kuhusu hili) lakini kama Katiba hiyo hiyo inampa madaraka ya kuanzisha ofisini yoyote, hapa. itakuwaje?
Kama anaweza kuanzisha cheo chochote, basi alikuwa sahihi kumtuma mwanae kwenda kuonana na Museveni nchini Uganda huku mwanae akiwa kiongozi wa timu(ofisi/cheo kipya).
Madaraka ya Rais wa nchi hii, ni bomu linalosubiri kulipuka siku moja.