Siku Rais wa nchi akianzisha wadhifa wa Mfalme au Malikia na akamteua mkewe au mumewe kuwa Mfalne/ Malkia, si pia atakuwa sahihi?

Siku Rais wa nchi akianzisha wadhifa wa Mfalme au Malikia na akamteua mkewe au mumewe kuwa Mfalne/ Malkia, si pia atakuwa sahihi?

As long as hawezi yeye kama Rais kuwa Mfalme au Malkia kutokana na muundo wa katiba basi huo uteuzi atakaofanya wa Mfalme au Malkia utakuwa ni wa jina tu usio na maana ya halisi tunayoijua. Pole Kwa kuchanganyikiwa
 
Kama Raia wa nchi anaweza kuanzisha ofisi yoyote na ikawa halali kikatiba, vipi siku Rais akiamua kuanzisha wadhifa wa Mfalme au Malikia na akamteua mwenza wake au mtu mwingine yoyote yule kushika wadhifa huo, si pia atakuwa sahihi?

Hata kama Katiba yetu inatambua Tanzania sio nchi ya kifalme (kwanza sijui kama katiba iko wazi kuhusu hili) lakini kama Katiba hiyo hiyo inampa madaraka ya kuanzisha ofisini yoyote, hapa. itakuwaje?

Kama anaweza kuanzisha cheo chochote, basi alikuwa sahihi kumtuma mwanae kwenda kuonana na Museveni nchini Uganda huku mwanae akiwa kiongozi wa timu(ofisi/cheo kipya).

Madaraka ya Rais wa nchi hii, ni bomu linalosubiri kulipuka siku moja.
Screenshot_2023-08-30-13-35-36-1.jpg
 
Kama Raia wa nchi anaweza kuanzisha ofisi yoyote na ikawa halali kikatiba, vipi siku Rais akiamua kuanzisha wadhifa wa Mfalme au Malikia na akamteua mwenza wake au mtu mwingine yoyote yule kushika wadhifa huo, si pia atakuwa sahihi?

Hata kama Katiba yetu inatambua Tanzania sio nchi ya kifalme (kwanza sijui kama katiba iko wazi kuhusu hili) lakini kama Katiba hiyo hiyo inampa madaraka ya kuanzisha ofisini yoyote, hapa. itakuwaje?

Kama anaweza kuanzisha cheo chochote, basi alikuwa sahihi kumtuma mwanae kwenda kuonana na Museveni nchini Uganda huku mwanae akiwa kiongozi wa timu(ofisi/cheo kipya).

Madaraka ya Rais wa nchi hii, ni bomu linalosubiri kulipuka siku moja.
Lakini wapo hata viongozi wa kiroho eti hawaoni umuhimu wa Katiba mpya bora !😅
Nchi hii ngumu sana !! 😅😅🙏🙏
 
Kwa tanzania inawezekana kabisa kwa sababu sheria huwa zinapindishwa.chawa wake wataanza kusemarais anaruhusiwa kuchagua yeyote na kauri ya rais wa tz ni sheria
 
Back
Top Bottom