Na kama siku zake zinabadilika maana hazipo stable mfano mwezi huu zinapanda labda siku tatu na mwezi unaofuata xinashuka siku 3 je ni normal hiyo.....hazipo mfano lets say ni siku 28 kamili......zinabadilika badilika kila wakati....kuna msaada wowote au nini kinahitajika.....je ni tatizo hilo au ni normal??