Elections 2015 Siku tano za kampeni: Chokochoko za CCM, serikali yake na vyombo vya ulinzi

Huu uzi nimeu-screen shot, ikifika tar 1 September, utaisaidia polisi, watu waropokaji kama nyie ndo tunawatafuta!!! Usidhani nyuma ya keyboard uko safe!

Kazi kutisha watu. Pumbavu
 
Huu uzi nimeu-screen shot, ikifika tar 1 September, utaisaidia polisi, watu waropokaji kama nyie ndo tunawatafuta!!! Usidhani nyuma ya keyboard uko safe!

We ---- nini?Acha kutisha watu kijinga....lofa wewe
 
Tuliombee Taifa linapita kwenye kipindi kigumu, ni hatari sana kuamua jambo litakalo egemea upande wowote wakati huu,

Naamini katika mungu lkn hizi fikra za kuomba huku dhamira haikutumi kutenda haki hata uombe mpaka jioni hakuna kitakachobadilika. Dhamira yetu kama mchi itutume kutenda haki amani itakuja yenyewe
 
Kulalamika humu ndani hakutusaidii, tuufahamishe umoja wa mataifa, mahakama ya kimataifa ICC na mashirika makubwa ya haki za bindamu kama transparency international na Human right watch wajue unyama unaoendelea. Tukinyamaza bila kupaza sauti nje hakuna takayejua tunaumia
 
Ukawa wakianza mchakamchaka huko mashinani si ndo watawapiga risasi huku wanatembea?
 
mod;

angalia kichwa cha habari hapo juu,

badilisha ; jf inatumika vibaya

mbona unatutisha. Rekebisha wewe basi na uisome kwa jinsi unavyotaka wewe lakini humu usiiweke.
Kuna uongo kwa alilolieleza Mtatiro?
Hukumsikiliza Chagonja jana? Na leo polisi wanazikamata bodaboda hovyohovyo kila kona ya jiji ili kuwatisha au kuwadhoofisha wapenda mabadiliko kuhudhuria shughuli ya jumamosi.
Kwa taarifa yako na wenye kubuni mbinu za kuidhoofisha ukawa tuna plan b,c,d na e. Mtasumbuka sana lakini hamtatuweza na ikulu ccm hamwendi mwaka huu.
 
Wapi katika bandiko lake amechochea vurugu ?

Kwani aliyoyaandika hayajatokea?

Binafsi nimeshajiandaa kuwatifua
fafanua lolote linaweza kutokea ina maana gani fuateni taratibu km kura zitatosha mtapewa nchi si kuleta vurugu hapa patachimbika.
kwani ni lazim wapewe huo uwanja wa mikitano? ni mali yao ?hakuna siku wapinzani watahisi wanatendew haki kabla ya kushika dola
 
Hilo ni kweli kabisa.

Nimesikitika sana kuona Chadema ya Mzee Slaa imepotea. Siamini macho yangu Leo ukumbi w LAPF hakuna mwenye gwanda.

Gwanda ilikuwa alama ya ukamanda. Nasikitika Leo hakuna gwanda kwa kina Mbowe, Mdee n.k

Kweli Mamvi kaiua CDM.

Queen Esther

Chadema imeshauzwa. Kuna kila dalili kuwa mnunuzi wa Chadema anataka kuibadilisha iwe kikundi cha sanaa...
 
Mtatiro acha kuchochea vurugu Tanzania tambua kuwa amani ikivurugika utakuwa sehemu ya washitakiwa ICC The Hague.
Mbona wajitoa ufahamu? Yule aliewahi kuwa kiongozi Mkuu wa nchi alivyoropoka kwenye uzinduzi wa kampeni za ccm haikuwa uchochezi? CCM mmeshachoka kilichobaki ni sukuma twende wakimtafuta wakumtwika huo mzigo. Unamnyooshea Mtatiro kidole kwa lipi? Au ukweli kwenu mwiko?
 
Naomba kuungana na wana UKAWA wenzangu kwa kuishukuru Serikali yetu kwa kuendelea kutunadi.

Mambo wanayoyaleta muda huu wakitumia Mamlaka zake ni Kampeni TOSHA.

Mh. Lowassa, Kamanda wetu hata usipopiga KAMPENI kura yangu unayo.

Asanteni
1. Kizungumkuti Jangwani
2. Kampeni Hospitalini
3. Kutumia Chopa
4...

Naomba wana UKAWA tuendeleze mapambano
 

- 7. Lowasa kukuwekea mgombea wake huko Segerea uliyetaka kupigana naye ngumi kugombea nafasi ya kuwakilisha UKAWA, hili mbona hujalisema mkuu?


Le Mutuz
 
Tatizo lenu UKAWA mnafikiria mambo ni rahisi tu kwamba mpite mnadanganya watu kuwa mnataka kuwaletea mabadiliko wakati hamuwezi halafu serikali iwaache tu mfanye mnavyotaka. Haiwezekani.

Kauli hizi zinaonyesha tuna safari ndefu kabla ya kufikia demokrasia ya kweli.
 
kuna usemi kwamba siku zote mti wenye matunda ndio urushiwa mawe. nina maana kuwa LOWASA ni mti wenye matunda na ndio maana serikali ya CCM inahangaika kumuwekea vigingi, kuna mifano iliyo wazi hapa,tukianzia kule moshi kwenye mazishi serikali ilitumia polisi kumzuia, ukija huku dar napo polisi wamempiga marufuku kutembea mitaani kuongea na watu,mara wakazuia uwanja wa jangwani asizindue kampeni zake. ila kwa kifupi LOWASA anatisha na ataendelea kuwa mti wa matunda
 
Huu uzi nimeu-screen shot, ikifika tar 1 September, utaisaidia polisi, watu waropokaji kama nyie ndo tunawatafuta!!! Usidhani nyuma ya keyboard uko safe!

achakuogpesha watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…