Pampula jr
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 606
- 192
Ninacho jua hakuna binadamu duniani anaependa kuibiwa kwa hiyo ccm wakiiba kura tu tunakinukisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamlaka ya hali ya hewa inaweza kuja na kituko kingine.
Kutokana na kuwepo na joto kubwa katika bahari ya Mediteranian ambayo itasababisha mvua za El Nino wagombea uRais watatakiwa kuomba kibali Mamlaka ya hali ya hewa kabla ya kufanya mikutano yao ili kuondoa uwezekano wa kutokea madhara yatakayosababishwa na mvua za El Nino.
Ninacho jua hakuna binadamu duniani anaependa kuibiwa kwa hiyo ccm wakiiba kura tu tunakinukisha
Wamaweza Mwishowe Wakasema Lowassa Ana Ebola.
Mamlaka ya hali ya hewa inaweza kuja na kituko kingine.
Kutokana na kuwepo na joto kubwa katika bahari ya Mediteranian ambayo itasababisha mvua za El Nino wagombea uRais watatakiwa kuomba kibali Mamlaka ya hali ya hewa kabla ya kufanya mikutano yao ili kuondoa uwezekano wa kutokea madhara yatakayosababishwa na mvua za El Nino.
Hapa umeua... haaaaa...daaah...!!!
Ukawa, wakiomba mkutano wataambiwa MVUA KUBWA sana ya MAWE MAKUBWA KAMA TOFALI YA AJABU KUNYESHA NA WATU WAJIFICHE majumbani...
Hapa umeua... haaaaa...daaah...!!!
Ukawa, wakiomba mkutano wataambiwa MVUA KUBWA sana ya MAWE MAKUBWA KAMA TOFALI YA AJABU KUNYESHA NA WATU WAJIFICHE majumbani...
Na hatoruhusiwa mtu kutoka ile ukitoka tu unachezea virungu kwa kisingizio utasababishia serikali hasara kwa kuhudumia wagonjwa na vifo visio na lazima maana tayari taarifa ya janga imeshatolewa.
serikali ipi hii ya raisi wake anahongwa suti pair tano kwa kubadilishana na loliondo hii ya kumaliza asilimia sitini tembo kwi kwi itaipata safari hii na nguvu ya umma