tatizo lako ni hilo, akili kidogo maneno mengiNasikia Mnyika na Dr Slaa watazuru kaburini Kabla ya mkutano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo lako ni hilo, akili kidogo maneno mengiNasikia Mnyika na Dr Slaa watazuru kaburini Kabla ya mkutano
Video zinakujaMwanza ipi inayozizima?
Ebu tupia hata picha moja tu ya leo,ili kuthibitisha unachokisema?
Mwanza kila mtu anaendelea na shughuli zake za kila siku,kama una lingine bora ungelisema kuliko huu uongo wa wa mchana!
Ni kama vile mnaweweseka nyinyi wenyewe Chadema!
Usiogope kama mwanafunzi wa Kilimanjarotatizo lako ni hilo, akili kidogo maneno mengi
Usilie sasa !Wewe umeshiba ujinga wa wapi mkuu?
Nani kakudanganyaYaani ni kama hamjiamini kwamba mmeruhusiwa kufanya mikutano. Na chifu hangaya amewabana pabaya hakuna kuongelea ugumu wa maisha, katiba wala huduma mbovu za kijamii.
Amewatega agenda kubwa iwe machungu ya uongozi wa jiwe ili mjiharibie zaidi kwa jamii. Mbona kazi ipo awamu hii
ungejua idadi ya wanaccm Mwanza nina hakika ungejificha uvunguniMbona mnajikomba sana kwa sukuma gang?
Mtaendelea kujikomba kwa sukuma gang hadi kesho.ungejua idadi ya wanaccm Mwanza nina hakika ungejificha uvunguni
Kishindo mpaka Lamadi ...Lamadi kwa umoja wetu gete gete tuna kuja kuwaunga na kuwapa nguvu Makamanda wetu mliopo mwanzaMwanza ipi inayozizima?
Ebu tupia hata picha moja tu ya leo,ili kuthibitisha unachokisema?
Mwanza kila mtu anaendelea na shughuli zake za kila siku,kama una lingine bora ungelisema kuliko huu uongo wa wa mchana!
Ni kama vile mnaweweseka nyinyi wenyewe Chadema!
Humolaga nyanda eehhomba yetale...Mtaendelea kujikomba kwa sukuma gang hadi kesho.
Utakua shoga wewe... jikaze sana maana kwata linalokuja hutoweza hata tembea.Mwanza ipi inayozizima?
Ebu tupia hata picha moja tu ya leo,ili kuthibitisha unachokisema?
Mwanza kila mtu anaendelea na shughuli zake za kila siku,kama una lingine bora ungelisema kuliko huu uongo wa wa mchana!
Ni kama vile mnaweweseka nyinyi wenyewe Chadema!
Andika kwa lugha ya taifa ili wote tukuelewe.Humolaga nyanda eehhomba yetale...
Endelea kuotaYaani ni kama hamjiamini kwamba mmeruhusiwa kufanya mikutano. Na chifu hangaya amewabana pabaya hakuna kuongelea ugumu wa maisha, katiba wala huduma mbovu za kijamii.
Amewatega agenda kubwa iwe machungu ya uongozi wa jiwe ili mjiharibie zaidi kwa jamii. Mbona kazi ipo awamu hii
Huu ujinga umetoa wapi, aibu sana mwanaume kuongea na kuamini upuuzi ulioandikaYaani ni kama hamjiamini kwamba mmeruhusiwa kufanya mikutano. Na chifu hangaya amewabana pabaya hakuna kuongelea ugumu wa maisha, katiba wala huduma mbovu za kijamii.
Amewatega agenda kubwa iwe machungu ya uongozi wa jiwe ili mjiharibie zaidi kwa jamii. Mbona kazi ipo awamu hii
Ni Kweli,Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, huko Mwanza tayari "HOMA YA JIJI" imekwisha ingia, Hivi ninavyoandika hapa Jiji zima la Mwanza ni shangwe tupu lililojaa matumaini kutokana na kishindo kizito cha CHADEMA na uzinduzi kabambe wa Mikutano ya hadhara, iliyozuiliwa kidikteta kutokana na uoga wa kushindwa kujibu hoja.
View attachment 2486257
Nilichobaini ni kwamba, Wananchi walipunjwa sana kwa kitendo cha kuzuia Mikutano ya hadhara, na wana kiu mno ya kusikia hoja tofauti, yaani mtu mmoja tu alitaka asikike yeye tu peke yake yaani, huu ulikuwa ubinafsi wa Aibu sana!
Hongereni sana wakazi wa Mwanza, Sisi Chadema tunawaahidi Spana za uhakika, Msiwe na wasiwasi.
Mungu ibariki Mwanza.
TETESI : HUENDA TUNDU LISSU AKAUNGANISHA KANDA YA VICTORIA KWA CHOPA ILI KUONGEZA NGUVU
Tuendelee kuitegea sikio JF kwa taarifa zaidi .
Mungu ibariki CHADEMAKuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, huko Mwanza tayari "HOMA YA JIJI" imekwisha ingia, Hivi ninavyoandika hapa Jiji zima la Mwanza ni shangwe tupu lililojaa matumaini kutokana na kishindo kizito cha CHADEMA na uzinduzi kabambe wa Mikutano ya hadhara, iliyozuiliwa kidikteta kutokana na uoga wa kushindwa kujibu hoja.
View attachment 2486257
Nilichobaini ni kwamba, Wananchi walipunjwa sana kwa kitendo cha kuzuia Mikutano ya hadhara, na wana kiu mno ya kusikia hoja tofauti, yaani mtu mmoja tu alitaka asikike yeye tu peke yake yaani, huu ulikuwa ubinafsi wa Aibu sana!
Hongereni sana wakazi wa Mwanza, Sisi Chadema tunawaahidi Spana za uhakika, Msiwe na wasiwasi.
Mungu ibariki Mwanza.
TETESI : HUENDA TUNDU LISSU AKAUNGANISHA KANDA YA VICTORIA KWA CHOPA ILI KUONGEZA NGUVU
Tuendelee kuitegea sikio JF kwa taarifa zaidi .
Hapana utapigwa wewe JoAcha urongo wewe!
Spana mtapiga marehemu?