Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Endelea kusikiaNasikia Mnyika na Dr Slaa watazuru kaburini Kabla ya mkutano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kusikiaNasikia Mnyika na Dr Slaa watazuru kaburini Kabla ya mkutano
Kwa uchaguzi upiMafuriko ya jf na Twitter kwenye sanduku la kura mnapata zero mnaanza kusingizia kuibiwa
Bbabhojage abhiyo ..tole Sesema Selema SelemaAndika kwa lugha ya taifa ili wote tukuelewe.
Bbabhojage abhiyo ..tole Sesema Selema Selema
Kama hujapitia JKT Huwezi elewa hii Lugha
Wewe ni CHAWA?
Amsha Amsha....Mungu ibariki CHADEMAView attachment 2486383
Nimepitia JKT kabla hujazaliwa.…Kama hujapitia JKT Huwezi elewa hii Lugha…
Ni ndefu sana. Sasa sijui wananchi watakula hizo hotuba za wanasiasaNi wapi Tunakwenda...., Tu - tunakwenda....... ?!!!
Yaani hata humu badala ya kuongelea shida lukuki za mwananchi tunamuongelea marehemu na kutukanana wenyewe kwa wenyewe wakati asali inazidi kulambwa kama Kawaida....
Kweli safari bado ni ndefu....., Bora nijifanye hamnazo sioni wala sisikii hizi ngonjera ni kujipa stress bure tu
Tuliza masaburi huko mliberali wewe. Kumbuka haya yote ni Kwa hisani ya Mh mama Dr Samia Suluhu Hassan the president of the United republic of Tanzania.EeNg'wanza yelebhelela sana hatari sana watu walikuwa na Kiu sana. Naliona Chopa la Lissu likiambaa ambaa kwenye kingo ya ziwa Nyanza huku likishangiliwa na umati wa watu huku wengine wakiwa juu ya Majabali
Siasa ni Sanyansi chawa viroboto papasi kunguni mjiaandae Kujibu HOJANONDO kutoka upande Makini
Hadi muuane mwaka huu, sisi wapiga kura tutaangalia sera sahihi za kumaliza keroKuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, huko Mwanza tayari "HOMA YA JIJI" imekwisha ingia, Hivi ninavyoandika hapa Jiji zima la Mwanza ni shangwe tupu lililojaa matumaini kutokana na kishindo kizito cha CHADEMA na uzinduzi kabambe wa Mikutano ya hadhara, iliyozuiliwa kidikteta kutokana na uoga wa kushindwa kujibu hoja.
View attachment 2486257
Nilichobaini ni kwamba, Wananchi walipunjwa sana kwa kitendo cha kuzuia Mikutano ya hadhara, na wana kiu mno ya kusikia hoja tofauti, yaani mtu mmoja tu alitaka asikike yeye tu peke yake yaani, huu ulikuwa ubinafsi wa Aibu sana!
Hongereni sana wakazi wa Mwanza, Sisi Chadema tunawaahidi Spana za uhakika, Msiwe na wasiwasi.
Mungu ibariki Mwanza.
TETESI : HUENDA TUNDU LISSU AKAUNGANISHA KANDA YA VICTORIA KWA CHOPA ILI KUONGEZA NGUVU
Tuendelee kuitegea sikio JF kwa taarifa zaidi .
Hatutaua mtu , ila kwa hoja hawatuweziHadi muuane mwaka huu, sisi wapiga kura tutaangalia sera sahihi za kumaliza kero
Wewe ni chawa no. ?Yaani ni kama hamjiamini kwamba mmeruhusiwa kufanya mikutano. Na chifu hangaya amewabana pabaya hakuna kuongelea ugumu wa maisha, katiba wala huduma mbovu za kijamii.
Amewatega agenda kubwa iwe machungu ya uongozi wa jiwe ili mjiharibie zaidi kwa jamii. Mbona kazi ipo awamu hii
Bora zero ya ukweli kuliko ile ya kulazimisha, nasikia mmepewa no . Wewe ni chawa no.?Mafuriko ya jf na Twitter kwenye sanduku la kura mnapata zero mnaanza kusingizia kuibiwa
Hakuna lolote hapo, kanda ya ziwa hatudanganyikiKuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, huko Mwanza tayari "HOMA YA JIJI" imekwisha ingia, Hivi ninavyoandika hapa Jiji zima la Mwanza ni shangwe tupu lililojaa matumaini kutokana na kishindo kizito cha CHADEMA na uzinduzi kabambe wa Mikutano ya hadhara, iliyozuiliwa kidikteta kutokana na uoga wa kushindwa kujibu hoja.
View attachment 2486257
Nilichobaini ni kwamba, Wananchi walipunjwa sana kwa kitendo cha kuzuia Mikutano ya hadhara, na wana kiu mno ya kusikia hoja tofauti, yaani mtu mmoja tu alitaka asikike yeye tu peke yake yaani, huu ulikuwa ubinafsi wa Aibu sana!
Hongereni sana wakazi wa Mwanza, Sisi Chadema tunawaahidi Spana za uhakika, Msiwe na wasiwasi.
Mungu ibariki Mwanza.
TETESI : HUENDA TUNDU LISSU AKAUNGANISHA KANDA YA VICTORIA KWA CHOPA ILI KUONGEZA NGUVU
Tuendelee kuitegea sikio JF kwa taarifa zaidi .
Muone huyuAcha urongo wewe!
Spana mtapiga marehemu?
Etwege hajawahi kuwa na akiliUko nje ya mada
Hivi Chadema kuna mtu mwenye akili timamu kweli.???Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, huko Mwanza tayari "HOMA YA JIJI" imekwisha ingia, Hivi ninavyoandika hapa Jiji zima la Mwanza ni shangwe tupu lililojaa matumaini kutokana na kishindo kizito cha CHADEMA na uzinduzi kabambe wa Mikutano ya hadhara, iliyozuiliwa kidikteta kutokana na uoga wa kushindwa kujibu hoja.
View attachment 2486257
Nilichobaini ni kwamba, Wananchi walipunjwa sana kwa kitendo cha kuzuia Mikutano ya hadhara, na wana kiu mno ya kusikia hoja tofauti, yaani mtu mmoja tu alitaka asikike yeye tu peke yake yaani, huu ulikuwa ubinafsi wa Aibu sana!
Hongereni sana wakazi wa Mwanza, Sisi Chadema tunawaahidi Spana za uhakika, Msiwe na wasiwasi.
Mungu ibariki Mwanza.
TETESI : HUENDA TUNDU LISSU AKAUNGANISHA KANDA YA VICTORIA KWA CHOPA ILI KUONGEZA NGUVU
Tuendelee kuitegea sikio JF kwa taarifa zaidi .