Siku tatu kabla ya Mkutano Mkubwa wa hadhara wa CHADEMA, Mwanza yote inazizima

Ni ndefu sana. Sasa sijui wananchi watakula hizo hotuba za wanasiasa
 
Tuliza masaburi huko mliberali wewe. Kumbuka haya yote ni Kwa hisani ya Mh mama Dr Samia Suluhu Hassan the president of the United republic of Tanzania.
 
Hadi muuane mwaka huu, sisi wapiga kura tutaangalia sera sahihi za kumaliza kero
 
Wewe ni chawa no. ?
 
Hakuna lolote hapo, kanda ya ziwa hatudanganyiki
 
Siyo "yazizima" ni "yarindima". Neno la kwanza ni simanzi au huzuni wakati la pili ni kinyume chake
 
Hivi Chadema kuna mtu mwenye akili timamu kweli.???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…