Huo ulikuwa mwaka wa 70, wakati wa Afro 70. Nyerere hapo kisha taifisha mali za watu kwa miaka 3, kila kitu kinaanza kuyumba.
Baba yako alikuwepo?
Ukishindwa kujibu hilo nakuuliza, toka kuzaliwa kwako, umeshaona Mbwa, Paka, Panya na Kunguru wakila pamoja jalalani?