So unataka kusema nasisi tujikite kuilaumu serikali kwanini haikuzuia gari isitumbukie majini!!So according to your pea sized brain, kila mtu alikufa pale alikuwa akichota mafuta? Na Serikali ilikuwa wapi kuzuia wizi wa mafuta? Polisi walikuwa wapi wakati huo na mbona walishindwa kudhibiti umati wa watu? Je Kama Haya yote yalitokea Serikali imara ya awamu ya tano ikiwa kwenye Ile slogan ya "hapakazi tu", mbona wakafeli kwa hili? Ni Serikali ya mdomo Ila kwa vitendo Ni zero na Kama sio zero Basi elezea mbona tukio Hilo halikutatuliwa dharura Kama vikosi vyenu vipo tayari?
KDF ni genge la wanamgambo tuhahah Mv Nyerere iliibuliwa kabla haijazama yote! Hawa ndo wanadai KDF is the best Army in the region?
So according to your pea sized brain, kila mtu alikufa pale alikuwa akichota mafuta? Na Serikali ilikuwa wapi kuzuia wizi wa mafuta? Polisi walikuwa wapi wakati huo na mbona walishindwa kudhibiti umati wa watu? Je Kama Haya yote yalitokea Serikali imara ya awamu ya tano ikiwa kwenye Ile slogan ya "hapakazi tu", mbona wakafeli kwa hili? Ni Serikali ya mdomo Ila kwa vitendo Ni zero na Kama sio zero Basi elezea mbona tukio Hilo halikutatuliwa dharura Kama vikosi vyenu vipo tayari?
Gari ni chombo kidogo hivyo kinaweza kosa kupatikana kiurahisi kama hiyo ferry yenu ambayo ilizama upande mmojaHow rescue operation should go
Gari ni chombo kidogo hivyo kinaweza kosa kupatikana kiurahisi kama hiyo ferry yenu ambayo ilizama upande mmoja
Ndogo you say.Nyie ni worse coz huwa mnaomba wakusini assistanceAisee hivi huwa mnashindwa wapi kutatua challenges ndogo ndogo kama hizi?
Kwikwikwi lazy Kenyans.Ndogo you say.Nyie ni worse coz huwa mnaomba wakusini assistance
Ndogo you say.Nyie ni worse coz huwa mnaomba wakusini assistance
Gari ni chombo kidogo hivyo kinaweza kosa kupatikana kiurahisi kama hiyo ferry yenu ambayo ilizama upande mmoja
Kwani kenya tank la petrol haijawahi lipuka?!???So according to your pea sized brain, kila mtu alikufa pale alikuwa akichota mafuta? Na Serikali ilikuwa wapi kuzuia wizi wa mafuta? Polisi walikuwa wapi wakati huo na mbona walishindwa kudhibiti umati wa watu? Je Kama Haya yote yalitokea Serikali imara ya awamu ya tano ikiwa kwenye Ile slogan ya "hapakazi tu", mbona wakafeli kwa hili? Ni Serikali ya mdomo Ila kwa vitendo Ni zero na Kama sio zero Basi elezea mbona tukio Hilo halikutatuliwa dharura Kama vikosi vyenu vipo tayari?
Niliona kdf na boti wameshika mabunduki majini nikacheka sana ,ukimando feki ni shida nikama sisi wabongo na kingereza chetu cha kuunga unga Mara umekutana na Demu wa kizungu unaanza kumsalimia ,,,good morning teacher.Ndogo you say.Nyie ni worse coz huwa mnaomba wakusini assistance