babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
๐๐๐Hahaha, Kuna jamaa ana Gun hapo sijui anafanya nini.. kenyans are fun mazee[emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐Hahaha, Kuna jamaa ana Gun hapo sijui anafanya nini.. kenyans are fun mazee[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lmfao daaahSpecial force ya Kenya ni sawa na mgambo wa Tanzania
Uwezo wa commando wa Kenya ni sawa kabisa na sungusungu wa Uganda
It is not the critic who counts; not the man who points out how the strong man stumbles, or where the doer of deeds could have done them better. The credit belongs to the man who is actually in the arena, whose face is marred by dust and sweat and blood; who strives valiantly; who errs, who comes short again and again, because there is no effort without error and shortcoming" Theodore Roosevelt
halafu unaweza kuta mumbi hajui kuogelea!Inasikitisha. Mombasa wanalalamika KDF imejaa wakikuyu. Kenya full Ukabila. Kuna Diver mmoja anaitwa Mussa alisema hawezi okoa bila kupewa mkataba. Kenya hawana utu kabisa aisee.
Hahahhahah.Mumbi hajaliongelea hili ? Yupo busy na kina Bhuhari ilihali nchini kwake uozo mtupu.halafu unaweza kuta mumbi hajui kuogelea!
Aaaah qumamaqeee na Alshabaab wanajua kupiga mbizi hatwareeee!!!Maadui wa kenya sasa wameshajua kuwa wakitaka kuivamia kenya wapitie baharini maana kuna weak and useless kenya Navy Army [emoji23][emoji23][emoji23]
Majeshi ya kenya show off kibao lakini kwa ground vitu ni different ๐๐๐Aaaah qumamaqeee na Alshabaab wanajua kupiga mbizi hatwareeee!!!
Alshabaab wameshapata taarifa kweli wazamie??!!
Me nawaambiaga hawa jamaa.Majeshi ya kenya show off kibao lakini kwa ground vitu ni different [emoji23][emoji23][emoji23]
Wakenya wengi wamekosa imani na KDF, hasa watu wa pwani, wanatoa matusi na kumuomba Uhuru Kenyatta alivunje KDF na kuunda jeshi jipya.
KDF limeshindwa kuzuia Alshabaab kujipenyeza Kenya na kushambulia wakenya, hadi sasa madaktari toka Cuba hawajapatikana, hili la kushindwa kuzamia hii gari kwa siku ya tatu limethibitisha udhahifu mkubwa wa KDF. Utasikia wakenya wakisifia bajeti kubwa ya KDF, sasa bajeti kubwa inatumikaje jamani?
Hawa jamaa wanakwama wapi sijui hata ๐ฌ๐ฌ๐ฌ showoff kibao alafu kwa ground vitu ni different kabisa.Me nawaambiaga hawa jamaa.
Hata lile tukio la wale AFD ambao ni waasi wa Kagame waliivamia JWTZ ikiwa troop yake imepumzika na TPDF walishtukizwa yani wanapiga story hawaelewi silaha wameekaje hata magazine hawajapakia lakini walijiokoa na kufa 17 tuuu na wakawafurumusha AFD wagambo bobezi wa Kagame.
Lakini KDF ilivamiwa na Alshabaab ikiwa full loaded na target locking kwa Alshabaab lakini walikufa km 500.
We unaliona KDF jeshi???
Me nakwambia KDF hakuna kitu.
TZ ikiamua iivamie Kenya inaipiga mpk inabaki tambarare km imepigwa nuke.
Asa kwa hilo tukio si mpiga mbizi tu anaokoa??
Unakumbuka yule mbaba alofariki na gari yake ndogo kivukoni pale kigamboni baada ya mnyororo kukatika na gari kutumbukia???
Wamba hawajachelewesha gari ilitolewa na mzee kuopolewa japokuwa alikwishafariki.
Sasa kenya wanashindwa nini???
Bro mm nakwambia najua kutumia hand gun na shot gun na martial arts (fujitsu,shotokan & wushu)najua.Hawa jamaa wanakwama wapi sijui hata [emoji51][emoji51][emoji51] showoff kibao alafu kwa ground vitu ni different kabisa.
Hawa jamaa ni bure kabisa ๐๐๐Bro mm nakwambia najua kutumia hand gun na shot gun na martial arts (fujitsu,shotokan & wushu)najua.
Nipe mission nikavamie KDF ukanda huo huo wa Navy seal nitakupa mrejesho uone wanadedi wangapi.
Hawa ni hovyo kabbisa.
Special force ya Kenya ni sawa na mgambo wa Tanzania
Uwezo wa commando wa Kenya ni sawa kabisa na sungusungu wa Uganda
Mkuu, leo majirani zangu wamepatikana na kwa makombora haya. Ila nchi zetu hizi miundombinu ya uokozi bado ni changamoto sanaSpecial force ya Kenya ni sawa na mgambo wa Tanzania
Uwezo wa commando wa Kenya ni sawa kabisa na sungusungu wa Uganda