Siku tisa sasa miili ya wahanga wa ajali Feri ya Likoni haijaopolewa

Siku tisa sasa miili ya wahanga wa ajali Feri ya Likoni haijaopolewa

Ni wapi hivi majuzi tanker ililipuka? Polisi was kule walikuwa wamelala Hadi janga lilipotokea ndio walianza kuhangaika when the worst has already happened. Tusichekane mambo Kama Haya wanapotokea.
 
Ni wapi hivi majuzi tanker ililipuka? Polisi was kule walikuwa wamelala Hadi janga lilipotokea ndio walianza kuhangaika when the worst has already happened. Tusichekane mambo Kama Haya wanapotokea.
Sasa umeandika nini hapa 😂😂😂
Huoni ni vitu viwili tofauti visivyoendana hata kidogo.
 
Sasa umeandika nini hapa 😂😂😂
Huoni ni vitu viwili tofauti visivyoendana hata kidogo.
Wewe unachekea majanga yanayowapata binadamu? Chunga Sana na umuombe Mola wako usijepatikana na majanga Kama Haya, Hakuna janga nzuri au baya kuliko lingine haswa Kama watu wataaga dunia.
 
Wewe unachekea majanga yanayowapata binadamu? Chunga Sana na umuombe Mola wako usijepatikana na majanga Kama Haya, Hakuna janga nzuri au baya kuliko lingine haswa Kama watu wataaga dunia.
Hapo nimecheka majanga au nimecheka utetezi wa kijinga uliouandika hapo juu?
Kwani wakenya wa jf mkikubali uzembe uliofanywa na kenya navy mtachapwa kwani?
 
wale "si wahanga"
sijui waswahili mnakosea wapi?
mhanga maana yake mtu anajitolea kifo kwaajili ya manufaa fulani ila si kama mnavyoju
Wakenya wengi wamekosa imani na KDF, hasa watu wa pwani, wanatoa matusi na kumuomba Uhuru Kenyatta alivunje KDF na kuunda jeshi jipya.

KDF limeshindwa kuzuia Alshabaab kujipenyeza Kenya na kushambulia wakenya, hadi sasa madaktari toka Cuba hawajapatikana, hili la kushindwa kuzamia hii gari kwa siku ya tatu limethibitisha udhahifu mkubwa wa KDF. Utasikia wakenya wakisifia bajeti kubwa ya KDF, sasa bajeti kubwa inatumikaje jamani?
Kdf hawa wazee wa kuiba biscuit westgate na kuuza mkaa kule somalia,pale hamna jeshi vilaza tu
 
Ni wapi hivi majuzi tanker ililipuka? Polisi was kule walikuwa wamelala Hadi janga lilipotokea ndio walianza kuhangaika when the worst has already happened. Tusichekane mambo Kama Haya wanapotokea.
Halafu punguza uwehu mchana huu.
Kulipuka kwa tanker ni tofauti na kuzama kwa hao watu.
Hayo ni matukio mawili yasiyofanana.
Siku ya nne hii hamjaokoa waliozama si bora wale waliolipuka siku hiyo hiyo walipelekwa hospitalini na wengine mazikoni!?
Kenya hadi sasa hamjaopoa hiyo miili inaliwa na samaki.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asa c bora waazime nchi jirani mana polisi wetu wako vizur kuliko jeshi lao
Bro mm sikupitia advance nimepitia diploma natafuta degree.
Na wala sijapitia JKT ila hawa nguru nawanyorosha.

ALL AT ALL YES WALE SIX WALOPITIA JKT WANAWAFILIMBA VZURY TU KDF.
 
Bora sisi wadaku ingekuwa tz huyo mama asingekufa na mtoto wake Nazi ilikuwa ya dakika 3 kuvaa boya na kuchukua boya moja mkononi kisha unajitupa majini hadi kwenye Gari na kampatia mama wa mtoto boya huku unamchukua mtoto ....wakenya wapumbavu sana watu wote wanaume zaidi ya elfu waliokuwepo kwenye kivuko hakuna aliyu Fanya kitu yani nyinyi ni wasengeee original Ila samahanini Kwa kuwatusi maana inauma sana
Vivuko vyao havina ata divers kuwaokoa wale watu kabla gar haijazama, mana gar haizami kama jiwe kwenye maji
 
Ni wapi hivi majuzi tanker ililipuka? Polisi was kule walikuwa wamelala Hadi janga lilipotokea ndio walianza kuhangaika when the worst has already happened. Tusichekane mambo Kama Haya wanapotokea.
Kwasababu polisi wenu wanatembea kwenye moto sio? Ule ni moto, tena wa mafuta tena petrol mzee, polisi waliwahi kuwaokoa walokua na majeraha kulikua hakuna njia ya kuwatoa walokua katikati mayb kdf wangeweza
 
Kwasababu polisi wenu wanatembea kwenye moto sio? Ule ni moto, tena wa mafuta tena petrol mzee, polisi waliwahi kuwaokoa walokua na majeraha kulikua hakuna njia ya kuwatoa walokua katikati mayb kdf wangeweza
Kazi ya polisi nu kuzuia Sasa hapo walishindwa ama hawakuwa makini wakikula rushwa.
 
Kwa sasa siyo uokozi tena ni kuopoa miili..
 
Ni wapi hivi majuzi tanker ililipuka? Polisi was kule walikuwa wamelala Hadi janga lilipotokea ndio walianza kuhangaika when the worst has already happened. Tusichekane mambo Kama Haya wanapotokea.
Unazungumzia wezi wa mafuta waliokufa Kwa mlipuko wa tank !!!! Hao tunawaambia waache upumbavu ni kama kdf walio kuwa wanaiba biscuti badala ya kuokoa wakenya west G .sasa kdf kama hao wakifa ni sawa tu walitakiwa wapokonywe siraha Kwa haraka hayo majizi ya kdf
 
Unazungumzia wezi wa mafuta waliokufa Kwa mlipuko wa tank !!!! Hao tunawaambia waache upumbavu ni kama kdf walio kuwa wanaiba biscuti badala ya kuokoa wakenya west G .sasa kdf kama hao wakifa ni sawa tu walitakiwa wapokonywe siraha Kwa haraka hayo majizi ya kdf
So according to your pea sized brain, kila mtu alikufa pale alikuwa akichota mafuta? Na Serikali ilikuwa wapi kuzuia wizi wa mafuta? Polisi walikuwa wapi wakati huo na mbona walishindwa kudhibiti umati wa watu? Je Kama Haya yote yalitokea Serikali imara ya awamu ya tano ikiwa kwenye Ile slogan ya "hapakazi tu", mbona wakafeli kwa hili? Ni Serikali ya mdomo Ila kwa vitendo Ni zero na Kama sio zero Basi elezea mbona tukio Hilo halikutatuliwa dharura Kama vikosi vyenu vipo tayari?
 
Back
Top Bottom