Siku tukifanikiwa chini ya Barbara

Siku tukifanikiwa chini ya Barbara

Mubby777

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2018
Posts
1,628
Reaction score
5,681
Huyu CEO wetu ambaye hajui mgawanyo wa madaraka kila kitu anataka afanye yeye siku ikitokea tukabeba ubingwa akiwa bado CEO basi nimekaa pale mje mniite mbwa

Mpira wa Bongo hauchezwi uwanjani tu(una fitna zake pia)

Au mniite mbwa na mnipige mawe
 
Timu za Kariakoo ni timu za uswahili kuanzia viongozi mpaka wanachama.kuzinyoosha kwenye mstari kuondoa uswahili kwa haraka haraka uwezi,mawili uache uswahili uendelee au uachie uongozi ukae pembeni.
 
Sikia hii mbwa
20220702_014650.jpg
 
Huyu CEO wetu ambaye hajui mgawanyo wa madaraka kila kitu anataka afanye yeye siku ikitokea tukabeba ubingwa akiwa bado CEO basi nimekaa pale mje mniite mbwa

Mpira wa Bongo hauchezwi uwanjani tu(una fitna zake pia)

Au mniite mbwa na mnipige mawe
Badala ya kupigwa mawe upigwe miti tu itapendeza zaidi
 
Huyu CEO wetu ambaye hajui mgawanyo wa madaraka kila kitu anataka afanye yeye siku ikitokea tukabeba ubingwa akiwa bado CEO basi nimekaa pale mje mniite mbwa

Mpira wa Bongo hauchezwi uwanjani tu(una fitna zake pia)

Au mniite mbwa na mnipige mawe
Kama huyu mwanamke atabaki Simba,nina uhakika Simba ndio imefikia mwisho wake.

Hutaona Simba wanacheza kwa morali tena.Nimegundua huyu ni mwanamke anayeharibu kabisa timu.
Nimesikitishwa kwa kitendo chake cha kuwazuia watu wa media wa Simba kumpost Morrison siku ya birthday yake.

Hii maana yake alikuwa na chuki naye.Hizi chuki za kike ni hatari sana.Kama Mo ana penda haya mambo,yataigharimu sana timu.Maana unaleta ubaguzi na kuwagawa wachezaji kwa vitu vidogo.
Ndio maana wachezaji wa Simba hawakuwa wanacheza kwa morali.
 
Nina uhakika mashabiki wengi wa Simba tutajitoa iwapo huyu mama ataendelea.

Mimi ni mmoja wao.Sina matumaini tena kwa sasa kuwa Simba itafanya vuzuri chini ya huyu mama.

Alimfitini Senzo,akamchukia Mkude,amemchukia Morrison,amemkera Chama...huenda kesho akaanzisha bifu na mchezaji mwingine.
Siamini kama wachezaji watacheza kwa morali.
Makocha kibao wameondoka chini yake.Anabania pesa ya usajili ili amfurahishe boss wake na sio mashabiki.
Sisi tunabaki kusapoti timu,yeye anawaza mapenzi mema na boss wake.
Sioni kama anajali matokeo ya Simba.Sioni kama ana wivu na Club.
 
Kwa hiyo tuanze mapema kuwaita mbwa fc! Badala ya mbumbumbu fc, mapaka fc, boxer fc, Mudi fc, Juju Fc, Bombay fc, nk! Au!!!!!
 
Kwa hiyo tuanze mapema kuwaita mbwa fc! Badala ya mbumbumbu fc, mapaka fc, boxer fc, Mudi fc, Juju Fc, Bombay fc, nk! Au!!!!!

Kwa hiyo tuanze mapema kuwaita mbwa fc! Badala ya mbumbumbu fc, mapaka fc, boxer fc, Mudi fc, Juju Fc, Bombay fc, nk! Au!!!!!
Mbwa ni jina lililotukuka aliowaita legendary mwenyew mbelgiji luc eymael july 2020
 
Huu uzi wangu kuna siku mtarud kuutafuta trust me

Babra anaipeleka Simba shimon naona mnapiga kelele na ule msimu ambao alikabidhiwa timu katikati akapokea kijit cha mafanikio ya try again [emoji23][emoji23] huu msimu ulippita ndo msimu wake unaona kilichotokea
Now ana huu tunaoenda kuanza hatak kusajir anabalance vitabu kweli team za kariakoo unaweza balance vitabu?[emoji23][emoji23] subir mtaona nyie ndo mtakuwa watu wa kwanza kumpiga Babra mawe

Ukweli ni kuwa Babra hatufai
Kwanza ni kibaraka wa Mo
Pili anafata sana principle(kubalance hesabu wakat team za kkoo haiwezekani)
Tatu hajui kugawanya majukum kila kitu anataka kufanya yeye
Nne ana chuki na kila mtu anayemwelekeza au kushaur

Time wil tell
 
Kama huyu mwanamke atabaki Simba,nina uhakika Simba ndio imefikia mwisho wake.

Hutaona Simba wanacheza kwa morali tena.Nimegundua huyu ni mwanamke anayeharibu kabisa timu.
Nimesikitishwa kwa kitendo chake cha kuwazuia watu wa media wa Simba kumpost Morrison siku ya birthday yake.

Hii maana yake alikuwa na chuki naye.Hizi chuki za kike ni hatari sana.Kama Mo ana penda haya mambo,yataigharimu sana timu.Maana unaleta ubaguzi na kuwagawa wachezaji kwa vitu vidogo.
Ndio maana wachezaji wa Simba hawakuwa wanacheza kwa morali.
Lakini Morison si amebaki Simba Sc mkuu?
 
Huu uzi wangu kuna siku mtarud kuutafuta trust me

Babra anaipeleka Simba shimon naona mnapiga kelele na ule msimu ambao alikabidhiwa timu katikati akapokea kijit cha mafanikio ya try again [emoji23][emoji23] huu msimu ulippita ndo msimu wake unaona kilichotokea
Now ana huu tunaoenda kuanza hatak kusajir anabalance vitabu kweli team za kariakoo unaweza balance vitabu?[emoji23][emoji23] subir mtaona nyie ndo mtakuwa watu wa kwanza kumpiga Babra mawe

Ukweli ni kuwa Babra hatufai
Kwanza ni kibaraka wa Mo
Pili anafata sana principle(kubalance hesabu wakat team za kkoo haiwezekani)
Tatu hajui kugawanya majukum kila kitu anataka kufanya yeye
Nne ana chuki na kila mtu anayemwelekeza au kushaur

Time wil tell
Nimesoma nimeona kinyaa aisee!!unakuta wewe ni mtu mzima na akili zako!!ndio maana nchi hii ni maskini wa kutupwa,sijui kama hata nyumbani kwenu mmejenga choo?!
Nyie ndio mnaokunya maporini uko na kujisafisha kwa magunzi!! Hujui kuwa Simba SC kwa sasa ni kampuni,na ili ijiendeshe kiufanisi lazima hesabu zake ziwe audit na ili iweze kulipa kodi na n.k hata makampuni makubwa yatakayotaka kuja kudhamini au kuwekeza lazima yaangalie vitabu vya hesabu kama viko sawa!!ila nimeamini kumuongoza mswahili ni kazi nzito sana.
Ndio maana JPM alikuwa muda mwingine anatumia nguvu mijitu kama nyie ni ngumu kuelewa,hapo ulipo unataka club iwe kubwa iwe na miundombinu ya kisasa bila kuwa na hesabu za kueleweka yote yatawezekana vipi? Dah!! Kweli mijitu kama wewe ni mijitu ya hovyo!unakuta ulipo hapo hata jezi ya club huna,uwanjani uendi,wala uchangii chochote zaidi ya kutaka club isajili kwa mamilioni bila kujua pesa zinatoka wapi? Hata mafisadi yakiiba fedha ya Umma yakaja kutoa kidogo kwenye Simba na yanga mijitu kama wewe mtayatetea tu!bladfaken
 
Back
Top Bottom