Siku watu wakikutana watakimbiana humu!

Mbona wengine wanafahamiana humu na maisha yao yana uhalisia wa kweli and then some?

Si kila mtu humu muongo. Nashukuru Mungu wale niliowaamini humu na wao kuniamini humu walikuwa wakweli 110%

 
Thread ya uongo sana hii,
Jf wengi ni wa wazi hata thread za watu kushindia karanga utazipa humu.
Jf kumejaa wapangaji sana.
Jf kumejaa watafuta kazi hadi za laki na hamsini.
Jf hakuna instag life.
Jf kuna watu wa vitengo ila ni kwa siri kubwa,wanaojisema ni wanogeshaji mada tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…