Kama wanao chura basi na mabwawa yako sambamba kwan ao chura wataishi wapi?kila binti ni mrembo, hakuna mweny flatscreen wote chura,, mfano ni wewe mwenyewe too fake
[emoji3] [emoji3] [emoji3] watakufa masikini hali so shwali kitekote sio fKwa iyo nyie mademu mlitarajia kutajirika jf!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wema wake hapa jf sipat picha aiseee
Shiiiiiiiii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tet te te te tehWema wake hapa jf sipat picha aiseee
ni wazo zuri ila tunaomba utufadhili ambao hatuna hivyo ulivyotaja mkuuKwa maisha tunayoishi jf ya ufahari mkubwa
Magari ya bei mbaya!
Majumba ya kifahari
Kazi nzuri nzuri
Mavazi ya kifahari
Jf hakuna aliyepanga chumba kimoja labda Nyumba nzima kodi 3 millions na zaidi
Hakuna anayekula kwa shida!
Kila mtu anatembea amekaa tena sio starlet!
Hakuna anayepata mshahara Wa chini ya laki 9!
Wote tumeajiriwa vitengo nyeti!
Au tuna mabusiness au makampuni cc husnathebossylady!
Hakuna anayeungaunga life!
Wote tuko mahandsome na mabeautifu
Tuna ngozi nyororo na sura za mvuto!
Mods naomba watusaidie kupanga get together party walau tukutane one day!
Na wamikoani nao waje dar! Au Wa dar waende mikoani
Mods naomba watusaidie kupanga get together party walau tukutane one day!
Na wamikoani nao waje dar! Au Wa dar waende mikoani
tehe tehe tehe mi navyomchambaga nahisi ataninyonyoa nywele zote LIVEHa ha ha le you know atapiga selfie za kutosha na mabebez
tehe tehe tehe nahisi zote tuNa za kule
Alafu wee unaonekana mbaya wee maana wewe ni wa kunyumbani wewe white boyTet te te te teh
JF where we dare to talk openly
tehe tehe teheNyuuuu wewe[emoji23] [emoji23]
Wewe ndo nitakukimbia jishaue tuNitakukimbia sanaaa