Siku watu wakikutana watakimbiana humu!

Siku watu wakikutana watakimbiana humu!

Kwa maisha tunayoishi jf ya ufahari mkubwa
Magari ya bei mbaya!

Majumba ya kifahari

Kazi nzuri nzuri

Mavazi ya kifahari
Jf hakuna aliyepanga chumba kimoja labda Nyumba nzima kodi 3 millions na zaidi

Hakuna anayekula kwa shida!

Kila mtu anatembea amekaa tena sio starlet!

Hakuna anayepata mshahara Wa chini ya laki 9!
Wote tumeajiriwa vitengo nyeti!
Au tuna mabusiness au makampuni cc husnathebossylady!

Hakuna anayeungaunga life!

Wote tuko mahandsome na mabeautifu
Tuna ngozi nyororo na sura za mvuto!

Mods naomba watusaidie kupanga get together party walau tukutane one day!
Na wamikoani nao waje dar! Au Wa dar waende mikoani
ni wazo zuri ila tunaomba utufadhili ambao hatuna hivyo ulivyotaja mkuu

vipi lini tuanze kusugua gaga na kufua vikanzu maana tunakodoa sikio wazii kama sikio la panya.
 
Mods naomba watusaidie kupanga get together party walau tukutane one day!
Na wamikoani nao waje dar! Au Wa dar waende mikoani

Hii mipango mingine ya ku-expose wana-JF ili kuua "uhuru wa kujieleza" sio mizuri kwa demokrasia inayosaidiwa na social media.

Wana-JF ndio baadhi ya unaowaona kwenye physical world. Kwanza umejuaje kama wote ni welloff? Halafu ukishajua hali zao inakusaidia nini katika maisha yako?

Kwenye hiyo 'get together' mtakutana wenyewe wenye hiyo mission ya kuua 'uhuru wa kujieleza'.
 
tehe tehe tehe nahisi zote tu
Nikimuonaga live, najisemeaga kimoyomoyo, ungejua mimi ni mmoja wapo wa wanaokuchamba jf ungenikata mabuti ya kufa mtu
Nyuuuu wewe[emoji23] [emoji23]
 
Watu kila Siku mnajisifu kua mna mpungu wa kutosha.. Ila kila siku graduates tunaomba kazi hamtupi mnatuambia tujiajiri tutajiajiri vipi hatuna Hata mia!

Madon wa humu ndan nyie money makers tuajirini Hata miezi 6 tupate mtaji tukajiajir
 
Back
Top Bottom