Siku watu wakikutana watakimbiana humu!

Siku watu wakikutana watakimbiana humu!

Kuna mwanamke 1 humu nikimuona najua atakua tofauti na nnavyofkiria.atakuwa kifaaa cha hatari
 
Mbona me masikini kabisa na nimepanga kwny kageto kamoja.
Ila najua nitatoka tu.
 
Labda wewe ndio unafake life..
Mbona JF ndio wa kwanza kulalamika vyuma vinakaza..
Mbona kuna wadau wanatoa story za nyumba za kupanga..
Kuna hadi madogo wanaomba notce za form 5...
Kuna watu wanatangaza kuuza kuku humu..

Usitake kuwasingizia wadau mkuu

Mkata nyace niko hapa
49ad47d1bf562cd94db8c44e1779d6cb.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Humu Utakutana Na Sura Ngumu Mpaka ushangae Utakuta Watu Wana Maisha Ya Chini Balaa....Niliwahi Kwenda kwenye Instagram Party Moja Yaani Watu wenye Acc Zao Kubwa Insta nikikutana Nao Wanavyochambaga watu Sikuamini kama ni waoo Ngozi Zao Sasa Kama Ndizi Za Kuchomaaaa Yaani Wana Maisha Ya Ajbu Hatareeeee[emoji23][emoji6]

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Humu Utakutana Na Sura Ngumu Mpaka ushangae Utakuta Watu Wana Maisha Ya Chini Balaa....Niliwahi Kwenda kwenye Instagram Party Moja Yaani Watu wenye Acc Zao Kubwa Insta nikikutana Nao Wanavyochambaga watu Sikuamini kama ni waoo Ngozi Zao Sasa Kama Ndizi Za Kuchomaaaa Yaani Wana Maisha Ya Ajbu Hatareeeee[emoji23][emoji6]

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Walikuwa wanajitambulisha na majina ya acc zao?
 
Back
Top Bottom