Siku watu wakikutana watakimbiana humu!

Siku watu wakikutana watakimbiana humu!

Kwa maisha tunayoishi jf ya ufahari mkubwa
Magari ya bei mbaya!

Majumba ya kifahari

Kazi nzuri nzuri

Mavazi ya kifahari
Jf hakuna aliyepanga chumba kimoja labda Nyumba nzima kodi 3 millions na zaidi

Hakuna anayekula kwa shida!

Kila mtu anatembea amekaa tena sio starlet!

Hakuna anayepata mshahara Wa chini ya laki 9!
Wote tumeajiriwa vitengo nyeti!
Au tuna mabusiness au makampuni cc husnathebossylady!

Hakuna anayeungaunga life!

Wote tuko mahandsome na mabeautifu
Tuna ngozi nyororo na sura za mvuto!

Mods naomba watusaidie kupanga get together party walau tukutane one day!
Na wamikoani nao waje dar! Au Wa dar waende mikoani
Tatizo kuna "wasiojulikana" pia humu haji mtu! Sahau!
 
Wewe huwa unawanukuu watu vibaya. Watu wa humu wana maisha ya kawaida sana tu.
Nikupe faida kidogo, humu hakuna tajiri hata mmoja, matajiri wana shughuli mingi na hawana huo muda wa kujiunga na kuchangia chochote maana wataupoteza muda wao ilihali muda kwao ni pesa.
Huku mpaka waganga tunao.
 
Hahaaaa mbona mimi sina kazi nipo tu nyumbani na nipo humu jf [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa maisha tunayoishi jf ya ufahari mkubwa
Magari ya bei mbaya!

Majumba ya kifahari

Kazi nzuri nzuri

Mavazi ya kifahari
Jf hakuna aliyepanga chumba kimoja labda Nyumba nzima kodi 3 millions na zaidi

Hakuna anayekula kwa shida!

Kila mtu anatembea amekaa tena sio starlet!

Hakuna anayepata mshahara Wa chini ya laki 9!
Wote tumeajiriwa vitengo nyeti!
Au tuna mabusiness au makampuni cc husnathebossylady!

Hakuna anayeungaunga life!

Wote tuko mahandsome na mabeautifu
Tuna ngozi nyororo na sura za mvuto!

Mods naomba watusaidie kupanga get together party walau tukutane one day!
Na wamikoani nao waje dar! Au Wa dar waende mikoani
Sitakimbia Mtu..............na kwa taarifa yako wengine sisi ni choka mbaya........ nipo hapa TAZARA Fly over ni Kibarua nalipwa kwa kutwa nakula mlo mmoja a.k.a kukaanga machine........!!!
 
Wewe huwa unawanukuu watu vibaya. Watu wa humu wana maisha ya kawaida sana tu.
Nikupe faida kidogo, humu hakuna tajiri hata mmoja, matajiri wana shughuli mingi na hawana huo muda wa kujiunga na kuchangia chochote maana wataupoteza muda wao ilihali muda kwao ni pesa.
Huku mpaka waganga tunao.
Hayo ni mawazo yako ila nachojua humu wamejaa wasomi vibopa na wazuri

Mganga yupi
 
Sitakimbia Mtu..............na kwa taarifa yako wengine sisi ni choka mbaya........ nipo hapa TAZARA Fly over ni Kibarua nalipwa kwa kutwa nakula mlo mmoja a.k.a kukaanga machine........!!!
Uhame jf[emoji23] [emoji23]
 
Kwa maisha tunayoishi jf ya ufahari mkubwa
Magari ya bei mbaya!

Majumba ya kifahari

Kazi nzuri nzuri

Mavazi ya kifahari
Jf hakuna aliyepanga chumba kimoja labda Nyumba nzima kodi 3 millions na zaidi

Hakuna anayekula kwa shida!

Kila mtu anatembea amekaa tena sio starlet!

Hakuna anayepata mshahara Wa chini ya laki 9!
Wote tumeajiriwa vitengo nyeti!
Au tuna mabusiness au makampuni cc husnathebossylady!

Hakuna anayeungaunga life!

Wote tuko mahandsome na mabeautifu
Tuna ngozi nyororo na sura za mvuto!

Mods naomba watusaidie kupanga get together party walau tukutane one day!
Na wamikoani nao waje dar! Au Wa dar waende mikoani
Mimi naomba uniondoe kwenye kundi hili, kwa sababu hata kiwaja sina! Vile vile sijawahi kudai madai yoyote ya aina hiyo, ni mtoto wa mkulima sawa na Mh. Pinda tu!
 
Back
Top Bottom