Siku watu wakikutana watakimbiana humu!

Kuna mwanamke 1 humu nikimuona najua atakua tofauti na nnavyofkiria.atakuwa kifaaa cha hatari
 
Mbona me masikini kabisa na nimepanga kwny kageto kamoja.
Ila najua nitatoka tu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Humu Utakutana Na Sura Ngumu Mpaka ushangae Utakuta Watu Wana Maisha Ya Chini Balaa....Niliwahi Kwenda kwenye Instagram Party Moja Yaani Watu wenye Acc Zao Kubwa Insta nikikutana Nao Wanavyochambaga watu Sikuamini kama ni waoo Ngozi Zao Sasa Kama Ndizi Za Kuchomaaaa Yaani Wana Maisha Ya Ajbu Hatareeeee[emoji23][emoji6]

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Walikuwa wanajitambulisha na majina ya acc zao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…