Wewe jishaue tu yan ukiniona mm unazimia kabisaa muulize Dj alivyokuwa anatetemeka kunishika hata mkonoNavuta picha jinsi nitakavyokukimbiaa....
Ni ile nduki ambayo utaona vumbi tu ila hutoniona mimi
Huku wapi??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] asante kuanzia leo naacha tunguli ili unifollow mpaka huku
Nataman siku nikutane na ww nikuvue hiyo miwan yawezekana macho yako yana mwanga kama macho ya paka[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] asante kuanzia leo naacha tunguli ili unifollow mpaka huku
Jiwe kizani loh.. Atakuja tu na atajulikana tu
Hehehehehehe in kasie voice
Kasie
@Darby
Asprin
Joseverest
Emmyta
Sakayo
Shunie
Mahondaw
Behaviourst
kisu cha ngariba
Ladies & gentleman munaitwa
[emoji4] babu alinisimuliaKuna party za JF ziliandaliwa na baadhi ya members wa MMU sikuwahi kwenda hata moja, sijui kwanini..... mjumuiko wa watu 2-5 na mimi nikiwemo nakuja ila kama kwenye harusi watu 300 au 500..... ntatokomea kusikojulikana.
Ile kakitu usihofu nayo, amini iko siku tuu maana tarehe 2 mwaka huu niliweka nia naamini itatimia tuu.
Kiochedi.
Hehehehee umenifikirisha..... ulishawahi isikia sauti ya Kasie?
mmmh jaman mbona wengine sisi humu ni mahousegirl tu tunaishi maisha ya tabu na tunaishi kwa mlo mmoja wa mihogo na maji, naishi nitakavyo cwez kuact maisha,wanaoact maisha ya juu ndo hao wataogopa kuonana na watu wengine wa jf. ujidai unaishi ghorofani wakati unaishi nyumba ya tembe![emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji86] [emoji126] [emoji126]Kwa maisha tunayoishi jf ya ufahari mkubwa
Magari ya bei mbaya!
Majumba ya kifahari
Kazi nzuri nzuri
Mavazi ya kifahari
Jf hakuna aliyepanga chumba kimoja labda Nyumba nzima kodi 3 millions na zaidi
Hakuna anayekula kwa shida!
Kila mtu anatembea amekaa tena sio starlet!
Hakuna anayepata mshahara Wa chini ya laki 9!
Wote tumeajiriwa vitengo nyeti!
Au tuna mabusiness au makampuni cc husnathebossylady!
Hakuna anayeungaunga life!
Wote tuko mahandsome na mabeautifu
Tuna ngozi nyororo na sura za mvuto!
Mods naomba watusaidie kupanga get together party walau tukutane one day!
Na wamikoani nao waje dar! Au Wa dar waende mikoani
[emoji4] babu alinisimulia
Aaaah ex bibi alikuwa anakusifia ....Kumbe ndo zake eeeh.... basi namfungia vioo kuanzia sasa.
Uwe hausi girl wewe naweka daummmh jaman mbona wengine sisi humu ni mahousegirl tu tunaishi maisha ya tabu na tunaishi kwa mlo mmoja wa mihogo na maji, naishi nitakavyo cwez kuact maisha,wanaoact maisha ya juu ndo hao wataogopa kuonana na watu wengine wa jf. ujidai unaishi ghorofani wakati unaishi nyumba ya tembe![emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji86] [emoji126] [emoji126]
Wewe tuonanendio maana ukimwambia mtu tuonane anakuzungusha hatari na story za tutaonana tu ucjali