Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii diet mbona haina mafuta mkuu? Ni diet simple sana haina vikolombwezoMkuu kwa diet hio stimu zinarudi mda si mrefu na Kama huna pakuchachua bakari nondo anakuhusu
Piga nieto mwana wacha uzembeNatimiza 0.10 months sjapiga punyeto. Hakika nastahili kujipongeza kwa hili. Si kawaida na haijawahi tokea! Hapa najizuia kutokula vyakula vya mafuta kwa wingi. Nakula diet ya majani ya maboga ya kukaushwa juani yaliyopikwa kwa karanga, china iliyochemshwa chuku chuku kidogo sana. Ugali kidogo sana hasa dona, maji kiasi, matunda na mchanganyiko wa kachumbari.
Sijaangalia porn mpaka muda huu, nafikiria jioni leo niende maeneo.! Ninachoweza kusema ni NoFap Challenge imenisaidia sana na naona matokeo chanya.
Wote tuseme NoFap!
Kwa pamoja tuitokomeze punyeto!
Sagai Galgano hivi wewe ni mzee, kijana au?
Kuna wanaume hawajawahi kupiga nyeto kabisa, unaamini hilo?
Kabisa, ila nahisi watakuwa wachache sana. Nasikia hata waliooa wanapiga'ga'.Kama hawajaanza.ila ukianza kuacha ni majaliwa
Hizo siku ni nyingi sana na zina nguvu kubwa sana katika harakati za kuachaDuuuhhh nilijua unaadhimisha miaka 10 ya kutokupiga punyeto.
Kumbe ni siku 3 tu
Unatumia simu gani mkuu? Chukua game la EFOOTBALL Play store uenjoy maishaNatimiza 0.10 months sjapiga punyeto. Hakika nastahili kujipongeza kwa hili. Si kawaida na haijawahi tokea! Hapa najizuia kutokula vyakula vya mafuta kwa wingi. Nakula diet ya majani ya maboga ya kukaushwa juani yaliyopikwa kwa karanga, china iliyochemshwa chuku chuku kidogo sana. Ugali kidogo sana hasa dona, maji kiasi, matunda na mchanganyiko wa kachumbari.
Sijaangalia porn mpaka muda huu, nafikiria jioni leo niende maeneo.! Ninachoweza kusema ni NoFap Challenge imenisaidia sana na naona matokeo chanya.
Wote tuseme NoFap!
Kwa pamoja tuitokomeze punyeto!
nyeto kuacha ni kipengele, muhimu upige kwa kiasi tu, atleast unapiga kwa wiki mara moja,Kabisa, ila nahisi watakuwa wachache sana. Nasikia hata waliooa wanapiga'ga'.
Natimiza 0.10 months sjapiga punyeto. Hakika nastahili kujipongeza kwa hili. Si kawaida na haijawahi tokea! Hapa najizuia kutokula vyakula vya mafuta kwa wingi. Nakula diet ya majani ya maboga ya kukaushwa juani yaliyopikwa kwa karanga, china iliyochemshwa chuku chuku kidogo sana. Ugali kidogo sana hasa dona, maji kiasi, matunda na mchanganyiko wa kachumbari.
Sijaangalia porn mpaka muda huu, nafikiria jioni leo niende maeneo.! Ninachoweza kusema ni NoFap Challenge imenisaidia sana na naona matokeo chanya.
Wote tuseme NoFap!
Kwa pamoja tuitokomeze punyeto!
Mimi ni m babu. Nasisitiza piga kimoja cha afya mjukuu wanguSagai Galgano hivi wewe ni mzee, kijana au?
Maisha gani unayoenjoy kwa EFOOTBALL ?Unatumia simu gani mkuu? Chukua game la EFOOTBALL Play store uenjoy maisha
🤣Mwisho katavuta bangiPunyeto inatokea akilini sio hivo vyakula utadhoofika mwili bure.
Arbort the fakin mission and return to the base now.Nyeto na iheshimiwe.
One man down .. one man down I repeat man down ..
Alpha one We are losing visual contact...
We need immediate evac ASAP