BUKU 1 800 JF-Expert Member Joined Oct 5, 2024 Posts 1,175 Reaction score 2,125 Nov 1, 2024 #81 Precious Diamond said: Ndio mpige kelele wajue mnakosa huduma, mkikaa kimya inaonekana hakuna shida mmeridhika na huduma Click to expand... Wewe hapo Mbezi Beach unakaa sehemu gani?
Precious Diamond said: Ndio mpige kelele wajue mnakosa huduma, mkikaa kimya inaonekana hakuna shida mmeridhika na huduma Click to expand... Wewe hapo Mbezi Beach unakaa sehemu gani?
Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 32,603 Reaction score 62,269 Nov 1, 2024 #82 gallow bird said: Tatizo mbezi imekua ya kila mtu tofauti na zamani wakati afande anaimba'kuna tofauti gani Kati ya temeke na mbezi..'yaani kuna hadi mbezi matembele ya pili, really!? Click to expand...
gallow bird said: Tatizo mbezi imekua ya kila mtu tofauti na zamani wakati afande anaimba'kuna tofauti gani Kati ya temeke na mbezi..'yaani kuna hadi mbezi matembele ya pili, really!? Click to expand...
Waterbender JF-Expert Member Joined Oct 2, 2018 Posts 7,573 Reaction score 10,063 Nov 1, 2024 #83 Precious Diamond said: Aaah weee, kila leo naona vilio vya changamoto ya maji, itakua upo kwa wakubwa Mkuu... Wizara ya Maji maeneo mengi ni majipu Click to expand... Sipati picha na hilo joto mnaoga maji lita tanoš¤£
Precious Diamond said: Aaah weee, kila leo naona vilio vya changamoto ya maji, itakua upo kwa wakubwa Mkuu... Wizara ya Maji maeneo mengi ni majipu Click to expand... Sipati picha na hilo joto mnaoga maji lita tanoš¤£