BUKU 1 800
JF-Expert Member
- Oct 5, 2024
- 1,175
- 2,125
Wewe hapo Mbezi Beach unakaa sehemu gani?Ndio mpige kelele wajue mnakosa huduma, mkikaa kimya inaonekana hakuna shida mmeridhika na huduma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hapo Mbezi Beach unakaa sehemu gani?Ndio mpige kelele wajue mnakosa huduma, mkikaa kimya inaonekana hakuna shida mmeridhika na huduma
Tatizo mbezi imekua ya kila mtu tofauti na zamani wakati afande anaimba'kuna tofauti gani Kati ya temeke na mbezi..'yaani kuna hadi mbezi matembele ya pili, really!?
Sipati picha na hilo joto mnaoga maji lita tano🤣Aaah weee, kila leo naona vilio vya changamoto ya maji, itakua upo kwa wakubwa Mkuu... Wizara ya Maji maeneo mengi ni majipu