Siku ya Afrika: Rais Magufuli ang'ara, UN yazitaka nchi tajiri kusamehe madeni kwa nchi za Afrika ili ziweze kupambana na Corona

Wakiamua kusamehe maana yake Ni kweli wameamua kwenda na wazo la JPM

Wasiposamehe, maana yake wamekubaliana na mawazo ya Baadhi ya mapendekezo ya maraisi waliopokea mikopo ya Corona
Ishu ya kusamehe au kutokusamehe ni maamuzi ya alietoa hela . Huwez mpangia au kumwamrisha nini afanye.
 
Km sijakosea hiyo ishu ya kusamehewa madeni kwa muda ilitolewa na ACT na aliyesema n malim sef. Sio mbaya lakn
 
Jpm babalao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…