Siku ya Baba Duniani: Lady Jaydee akerwa kukithiri kwa rushwa ya ngono kwa wasanii wa kike. Ujumbe uwafikie Takukuru

Siku ya Baba Duniani: Lady Jaydee akerwa kukithiri kwa rushwa ya ngono kwa wasanii wa kike. Ujumbe uwafikie Takukuru

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Mwanamziki mkongwe Lady J Dee; ameonesha kukerwa Sana na tabia ya mapromoter, sponsor na mapresenter Kuwataka kingono wasanii wa kike!

Adai tabia hiyo inaua Sana ndoto za wasanii hususani chipukizi kuingia kwenye gemu!

Salam ziwafikie:
Waziri wa Habari na Michezo
Takukuru
BASATA

Swali ni je; anaowatetea ni kweli wanaombwa au wanajilengesha wenyewe?

MJUMBE HAUWAWI!

2434971_Screenshot_20200622-06083.jpg

2434972_Screenshot_20200622-060805.jpg
 
Na yeye pia alitoa ndio akatoka?

Binti anaenda studio na kimini na amebana matako kisha anaimba kwa sauti nzuri kama ya Nandi, kubinua mdomo na kurembua macho ni rahisi kwa Mwanaume Producer kumtamani na kuamua kumuanza kabla hajajulikana zaidi na kufanywa na wengine.

Mazingira pia yanachangia, producer ana studio nyumbani kwake Binti anaenda kurekodi hadi usiku na wanabaki wawili tu yeye na Producer, ni rahisi kunjunjana huko hata kila siku.

Ndio maana wazazi walikuwa wanawagomea mabinti zao sio kwamba hawataki wavume.
 
Siku ya wanaume duniani ilikuwa lini?
 
Hahaha kuna mada zinachekesha, sasa nyuchi zao za nini kama sio kupeana? Au walistahili kubakwa?!
Wasaanii ni kama wanafunzi, huchukuana wao kwa wao. Sasa sijui tatizo liko wapi?!
 
Aahhh sasa toka lini , aliyepigwa weeeeee, leo anaibuka kuwaonya wengine? Si ndo wivu huo.

Wakuyaongea hayo alifaa ambaye naye harakat zake zakutoka hakua anapigwa pigwaa.
Kwa hiyo waendelee kupigwa, utakuja kupata mtoto wa kike nakuambia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nitapata mtoto wakike, lkn tabia zake zitafanana na za Mama yake.

Ikiwa mama yake ni mpigwaji nje, bila shaka mtoto naye atapigwa nje.

Ni suala la Malezi na Mtu anayempa hayo malezi.
 
Aahhh sasa toka lini , aliyepigwa weeeeee, leo anaibuka kuwaonya wengine? Si ndo wivu huo.

Wakuyaongea hayo alifaa ambaye naye harakat zake zakutoka hakua anapigwa pigwaa.Ndio nitapata mtoto wakike, lkn tabia zake zitafanana na za Mama yake.

Ikiwa mama yake ni mpigwaji nje, bila shaka mtoto naye atapigwa nje.

Ni suala la Malezi na Mtu anayempa hayo malezi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa hiyo una uhakika Jide alikuwa anapigwa ndio akatoboa. Btw mtu haruhusiwi kukemea ubakaji kwa sababu hata yeye alishawahi kubakwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanawake bana, wanapenda kila kitu kiwe kinawahusu wao hata father's day wanataka wazungumziwe wao.

jana kuna kituo flani cha TV kilikua kikiplay watoto wakiwa wanaimba wimbo wa Banana Zorro "Mama yangu".. kweli? mama yangu? on father's day?

asee.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa hiyo una uhakika Jide alikuwa anapigwa ndio akatoboa. Btw mtu haruhusiwi kukemea ubakaji kwa sababu hata yeye alishawahi kubakwa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kubakwa ni kubakwa..na kupigwa kwa kupenda ni kupigwa tuu.

Yeye anazungumzia wanaopigwa ili watoke, anasahau nayeye alipigwa sana tuuu enzi izo, sasa yuko kwa Age ambayo akipigwa pigwa ni dharau kwake, sasa anaamua kujitia Mtoa ushauri.

Ni ngumu mno, mwanamke aliyepigwa pigwa anayepigwapigwa mechi za ndani na nje, akawa mkemeaji sahihi na mbadilishaji, Badiliko huanzia kwako.
 
Na yeye wakati anatoa kwa Borderpath hakujua kama ni rushwa ya ngono.

Wadada wengi wanaanza kupigwa kinoma wakiwa mastaa wanajifanya expensive. Ndio maana majamaa kwa hasira wanawafumua mitaro hao underground ili akiwa super star akumbuke aliyoyapitia
 
Yeye mwenyewe alito....na Ruge. Tena amesahau kule South kwenye tuzo za Kora alilala room moja na Ruge ?Ama kweli Nyani haoni kundu lake. Yaani ni yale yale sema zama tofauti. Huyu na Ray C, Ruge jasiri muongoza njia kawalala sana. Ila Ruge kafaidi sana. Kina Zamaradi, Lina, Mwasiti sijui Recho wote hao Jasiri alitembeza ndoano yake. Kaja kamalizia kwa Nandy. Isingekuwa kifo sijui nani angekuwa next.
 
Back
Top Bottom