zote ni siku za wanaume, Jana Ilikuwa kileleSiku ya wanaume duniani ilikuwa lini?
Ndo hivyo
Haya sasa #METOO campaign ianze kama Hollywood vileDuh
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hapo usikute, enzi izo nayeye apigwa muwa sanaaaa tuuu.
Kwa hiyo waendelee kupigwa, utakuja kupata mtoto wa kike nakuambia.Na hapo usikute, enzi izo nayeye apigwa muwa sanaaaa tuuu.
Saizi kazeeka, sasa anaonea wivu watoto wabichi.
Kila mtu na muda wake.
Ndio nitapata mtoto wakike, lkn tabia zake zitafanana na za Mama yake.Kwa hiyo waendelee kupigwa, utakuja kupata mtoto wa kike nakuambia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana ilikuwa ya akina Baba (wazazi).zote ni siku za wanaume, Jana Ilikuwa kilele
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa hiyo una uhakika Jide alikuwa anapigwa ndio akatoboa. Btw mtu haruhusiwi kukemea ubakaji kwa sababu hata yeye alishawahi kubakwa?Aahhh sasa toka lini , aliyepigwa weeeeee, leo anaibuka kuwaonya wengine? Si ndo wivu huo.
Wakuyaongea hayo alifaa ambaye naye harakat zake zakutoka hakua anapigwa pigwaa.Ndio nitapata mtoto wakike, lkn tabia zake zitafanana na za Mama yake.
Ikiwa mama yake ni mpigwaji nje, bila shaka mtoto naye atapigwa nje.
Ni suala la Malezi na Mtu anayempa hayo malezi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa hiyo una uhakika Jide alikuwa anapigwa ndio akatoboa. Btw mtu haruhusiwi kukemea ubakaji kwa sababu hata yeye alishawahi kubakwa?
Sent using Jamii Forums mobile app