Im not sure
Member
- Sep 6, 2013
- 36
- 24
Sio lazima. Mbona 'Babu Chenchi' alikuwa na banda japo hakumwalika Jechamnauza nini??
Hahahahaa ila wewe[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] usivae nguo ukiona shida.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125]Do tusije kuishia selo, wengine tulimwaga sana radhi hapa kuhusu DAB.
Vaa rangi nyeupe kuanzia miguuni hadi kichwani. Nitakugundua mapema, hata bajeti ya hayo mavazi naweza changia ukinirihusu!!Sexless sijui nitavaa nguo gani yenye kusadifu ID yangu? Hiki ni kikwazo kikubwa kwangu.
Wewe si mtaalamu was ktafuta, utapapata tu.wapi huko? kwenye misosi tena?
Hii nayo kali! Kama jamaa mmoja kwenye harusi aliupenda wimbo uliokuwa ukimbwa na vijana wahereheshaji. Akamwita mpiga picha ampigie picha wimbo huo[emoji3] [emoji3]Huwezi kunitumia hzo nyama kwenye email yangu?
Mmmh hii inawahusu waliopo huko Dar sio??