Mmh. Hapaendeki?Mmh. Hongereni zimebaki siku 07.
Msisahau kuombana assist za live live.
Chicha ka' Tungi.. Tungi kama Chicha La Mbege.. Mondeeenakuja kufuta munde tu hapo basi take away zipo? ..
Hahaha! Hiyo sijui itaitwa kanzu- dera !!??Vaa rangi nyeupe kuanzia miguuni hadi kichwani. Nitakugundua mapema, hata bajeti ya hayo mavazi naweza changia ukinirihusu!!
Nitakuwa kituko cha mwaka[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] usivae nguo ukiona shida.
Hahah! DuhMbona Kwa staili hii watakaokuwa na ID ya the Bold watakuwepo wengi ili wawakamate watoto!!!!!
kumbe sisi tusubiri tu nanenane....[emoji22][emoji22]Makutano mema.
Wala usiende baba angu. Bora kubaki nyumbani na familia.Mmh. Hapaendeki?
Ipe jina litakalo kupendezeka mkuu ili hali 7-7 iende kama ilivyopangwa!Hahaha! Hiyo sijui itaitwa kanzu- dera !!??
Na wala sitaenda mamaanguWala usiende baba angu. Bora kubaki nyumbani na familia.
Bora aisee babaangu. [emoji2] [emoji2]Na wala sitaenda mamaangu
Jiandae 8/8Mmmh hii inawahusu waliopo huko Dar sio??